Jumamosi, 7 Novemba 2015
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA ALGERIA RAMTANE LAMAMRA
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akutana na kufanya mazu gumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria Mhe.Ramantane Lamamra ikulu jijini Dar es Salaam leo.
( Picha na Freddy Maro )
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
‹
›
Nyumbani
Ona toleo la wavuti
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni