|
Mkuu wa Kiwanda cha TBL tawi
la Mbeya, Waziri Jemedari akipokea kombe la tuzo ya mwajiri bora kutoka kwa
Afisa Mipango wa kampuni Tumaini Moses,Kombe hilo la tuzo lilikuwa mkoani Mbeya
ambao wafanyakazi wote wa kiwanda icho walishiriki kusherehekea mafanikio ya
kampuni yao.
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni