Pichani wajasiriamali (Mama lishe) wakijaza fomu za kujiunga na mpango maalum wa kujiwekea akiba ya uzeeni (VSRS) huku wakipatiwa maelezo na Afisa Masoko Bw Avit Nyambele.
Jumanne, 5 Julai 2016
BANDA LA MFUKO WA GEPF LAWA KIVUTIO KIKUBWA KWA WAJASIRIAMALI KATIKA VIWANJA VYA MAONESHO YA SABA SABA MJINI DAR ES SALAAM
Pichani wajasiriamali (Mama lishe) wakijaza fomu za kujiunga na mpango maalum wa kujiwekea akiba ya uzeeni (VSRS) huku wakipatiwa maelezo na Afisa Masoko Bw Avit Nyambele.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni