Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), (kushoto), akisikiliza jambo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) anaeziwakirisha nchi 23 za Afrika, Bw. Maxwell Mkwezalamba (kulia) katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere muda mfupi kabla ya kuwasili kwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Tao Zhang.
Jumatano, 17 Mei 2017
NAIBU MKURUGENZI WA IMF AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), (kushoto), akisikiliza jambo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) anaeziwakirisha nchi 23 za Afrika, Bw. Maxwell Mkwezalamba (kulia) katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere muda mfupi kabla ya kuwasili kwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Tao Zhang.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni