Waziri 
Mkuu Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi katika Uwanja wa Nsololo 
jimbo la Igalula Wilaya ya Uyui  mara baada yakuwasili leo August 
12.2017 na kufanya mkutano wa hadhara katika Wilaya ya Uyui Mkoa wa 
Tabora
Waziri 
Mkuu Kassim Majaliwa na Mkewe Mama Majaliwa wakiwasalimia wananchi 
katika Uwanja wa Nsololo jimbo la Igalula Wilaya ya Uyui  mara baada 
yakuwasili leo August 12.2017 na Waziri Mkuu kufanya mkutano wa hadhara 
katika Wilaya ya Uyui Mkoa wa Tabora
Waziri 
Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya CCM 
Taifa na Mkuu wa Wilaya Mstaafu Bwana  Jackson Masome .walipo kutana 
katika mkutano wa hadhara leo August 12.2017 katika Wiaya ya Uyui 
Tabora. Waziri yupo Mkoa wa Tabora kwa ziara ya Kikazi
PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni