RAIS DONALD TRUMP AMPIGIA SIMU RAIS UHURU KENYATTA


Rais Donald Trump amempigia simu rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ikiwa ni simu yake ya nne kupiga kwa kiongozi wa taifa la Afrika tangu aingie madarakani.

Katika maongezi yao yaliyofanyika jana mchana, viongozi hao wameahidi kuimarisha ushirikiano baina ya mataifa hayo mawili.

Simu ya kwanza ya Trump kwa kiongozi wa Afrika ilikuwa ni baina yake na rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ambapo walizungumzia masuala ya tatizo la ugaidi.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni