Wananchi wa jamii ya wafugaji 
waliposimama katikati ya barabara ya kuingia Makao makuu ya Hifadhi ya 
Taifa ya Ngorongoro kwa lengo la kuzuia msafara wa Kamati ya Bunge ya 
Maliasili na Utalii ilipotembelea Ngorongoro.
Wananchi wa jamii ya wafugaji wanaoishi 
katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro wakilelekea makao makuu ya Mamlaka
 ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro mara baada ya kuomba kutoa kero zao 
mbele ya kamati hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro,Rashid Taka
 akitoa neno la ukaribisho kwa wajumbe wa kamati ya Bunge ya 
Ardhi,Maliasili na Utalii ilipotembelea wilaya ya Ngorongoro.
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii wakiwa katika kikao hicho.
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya 
Ardhi,Maliasili na Utalii,Atashasta Ndetiye akizungumza na wananchi wa 
jamii ya wafugaji  makao makuu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
Wananchi wa Ngorongoro wakifuatilia 
maelezo ya Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na 
Utalii,Atashasta Ndetiye alipozungumza nao.
Mbunge wa jimbo la Siha na Mjumbe wa 
kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasi na Utalii ,Godwin Mollel akizungumza 
wakati wa kikao hicho. 
Mwenyekiti wa Baraza la Wafugaji Edward 
Maura akitoa malalamiko yao kwa kamati ya kudumu ya Bunge ya Maliasili 
na Utalii ilipofika makao makuu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro 
kuzungumza naao.
Wananchi wa jamii ya Wafugaji wanaoishi 
katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro wakifanya maombi mara baada ya 
kumalizika kwa kikao na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na 
Utalii.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni