Vijana wa kazi kaskazini Arusha wakitoa burudani ya nguvu ndani ya 
Triple A sport bar   bendi  town ijulikanayo kama  Mounti Meru 
Rickernest    
Waimbaji wa bandi ya  Rickinest wakiwa wanaserebuka pamoja na wadau  wa muziki wa bandi mkoani Arusha 
 Wanenguaji hatari kutoka bendi ya Rickinest Band wakionyesha uwezo wao wa kukata mauno jukwaani 
 Apa mzuka ulikuwa umepanda hatari waliamua kuonyesha makeke ya kila aina 
 Washabiki wa bandi ya Rickinest wakiwa wana show love kwa pamoja  mara baada ya burudani kukolea
 Wanadada wa A-Town  waliouthuria katika show hiyo ya Mounti Meru Rickinest Band  wakiwa katika pozi
 Wa kwanza kushoto ni shabiki mkuu wa band ya Rickinest music band  
Omary Matelephone akiwa anabadilishana mawazo na  shabiki mwenzake 
ambalo jina lake alikuweza kufahamika mara moja
 Mmoja
 wa wakurunzi wa band hiyo  wa kwanza kulia akiwa anaserebuka sebene la 
nguvu wakati wanamuziki wakifanya yao (picha zote na Mahmoud Ahmadwww.manyaraleotz.com,Arusha) 
 
Bendi hii ya Mounti Meru Rickernest bandi inafanya onyesho lake kila siku ya ijumaa ,jumamosi na jumapili katika ukumbi wa Triple A sport bar
 
 
Bendi hii ni mpya na imeaidi kutoa burudani ya nguvu kwa mikoa yote ya hapa nchini
Bendi hii ya Mounti Meru Rickernest bandi inafanya onyesho lake kila siku ya ijumaa ,jumamosi na jumapili katika ukumbi wa Triple A sport bar
Bendi hii ni mpya na imeaidi kutoa burudani ya nguvu kwa mikoa yote ya hapa nchini
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni