MAHAKAMA KUU YA ZIMBAMBWE YAPIGA MARUFUKU WATOTO KUPIGWA


Mahakama Kuu nchini Zimbabwe imepiga marufuku kitendo cha kuwapiga watoto mashuleni na hata majumbani nchini humo.

Uamuzi huo wa Mahakama umetolewa kufuatia mzazi mmoja kulalamika mtoto wake darasa la kwanza mwenye miaka 6 kupata michubuko baada ya kuchapwa na mwalimu.


Mzazi Linah Pfungwa amesema mtoto wake wa kike alipigwa na mwalimu kwa kusahau kitabu chake kusainiwa na mzazi kuthibitisha amefanya kazi aliyopatiwa kuifanya nyumbani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni