Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa  akifungua mkutano wa Biashara na Uwekezaji kati 
ya Tanzania na Mauritius mjini Port Louis nchini Mauritius , Machi 23, 
2017. 
Waziri
 Mkuu wa Mauritius, Bw. Pravind  Kumar Jugnauth akizungumza katika 
mkutano wa Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Mauritius mjini 
Port Louis Machi 23, 2017. 
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri Mkuu wa Mauritius, Bw. 
Pravind Kumar Jugnauth katika mkutano wa Uwekezaji na Biashara kati ya 
Tanzania na Mauritius kabla ya kufungua mkutano huo mjini Port Louis, 
Machi 23, 2017. 
Baadhi
 ya washiriki wa Mkutano wa Biashara na Uwekezaji  kati ya Tanzania na 
Mauritius wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua 
 mkutano huo mjini Port  Louis  Machi 23, 2017.
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Waziri Mkuu wa Mauritius, Bw. Pravind
 Kumar Jugnauth baada ya kufungua mkutano wa Biashara na Uwekezaji kati 
ya Tanzania na Mauritius mjini Port Louis Machi 23, 2017. (Picha na 
Ofisi ya Waziri 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni