Mwenyekiti
 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na 
watendaji, Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa Wilaya na Mikoa baada ya 
kufunga semina yao katika ukumbi w White House mjini Dodoma leo Machi 
14, 2017.
Mwenyekiti
 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia 
watendaji, Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa Wilaya na Mikoa wakati wa 
kufunga semina yao katika ukumbi w White House mjini Dodoma leo Machi 
14, 2017.
Mwenyekiti
 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia 
watendaji, Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa Wilaya na Mikoa wakati wa 
kufunga semina yao katika ukumbi w White House mjini Dodoma leo Machi 
14, 2017.
Wajumbe
 wa Sekretarieti ya CCM wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi 
Dkt. John Pombe Magufuli  wakati akifunga kufunga semina ya watendaji, 
Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa Wilaya na Mikoa  katika ukumbi w White 
House mjini Dodoma leo Machi 14, 2017. PICHA NA IKULU 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni