WATEJA WALALAMIKA NDEGE ZA BRITISH AIRWAYS KUISHIWA NA CHAKULA

Shirika la Ndege la British Airways limekabiliana na malalamiko kutoka kwa abiria wa ndege zake kufuatia kuishiwa na vyakula zikiwa safarini.

Shirika hilo pia pia limekuwa likikabiliwa na tatizo la kushindwa kuwa na akiba ya kutosha ya karatasi za kutumia chooni.

Matatizo hayo yameibua malalamiko mengi ya wateja, wengi wao bado wamekerwa na uamuzi wa shirika hilo kuondoa chakula cha bure katika safari fupi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni