Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo HABARI ZA KIMATAIFA. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo HABARI ZA KIMATAIFA. Onyesha machapisho yote

WAZIRI WA ZAMANI WA INDIA AMALIZA ELIMU YA SEKONDARI AKIWA GEREZANI


Waziri wa zamani wa India anayetumikia adhabu ya kifungo jela kwa rushwa amefaulu mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari akiwa na umri wa miaka 82.

Waziri huyo Prakash Chautala, aliyekuwa waziri kwa mihula minne katika jimbo la kaskazini la Haryana, alifanya mtihani wa kidato cha 12 akiwa gereza la Tihar Jijini Delhi.

Mtoto wake Abhay Chautala amesema baba yake ameamua kutumia kuutumia kwa manufaa muda anaotumikia kifungo jela kwa kusoma.


Waziri huyo wa zamani wa Haryana alitiwa hatiani kwa tuhuma za rushwa katika zoezi la kuwaajiri walimu.

SAMARITAN'S PURSE HAS RESPONDED TO THE EAST AFRICAN NATION'S TRAGEDY BY TRANSPORTING THE HURTING CHILDREN TO THE U.S. FOR URGENTLY NEEDED MEDICAL CARE.




Samaritan’s Purse has brought three severely injured Tanzanian children, the only survivors of a bus accident that killed 35 people and recently made world news, to the United States. They will be receiving specialized trauma care at a hospital in Sioux City, Iowa.

On Friday, May 12, Samaritan’s Purse sent our DC-8 airplane to Tanzania to pick up the children—Wilson, a 12-year-old boy; Sadhia, a 12-year-old girl; and Doreen, a 13-year-old girl. Their mothers have accompanied them on the journey, along with a Tanzanian doctor and nurse, as well as Ed Morrow, director of World Medical Mission, the medical arm of Samaritan’s Purse. They all arrived in Charlotte late Sunday night, May 14.

Update: The children are resting well at Carolinas Medical Center and are expected to be transported to Mercy Medical Center in Sioux City today. “I appreciate the Carolinas Medical Center responding quickly overnight to accommodate these children,” Franklin Graham said. (as of May 15)]
“When I heard about the tragic bus accident in Tanzania and the three children who survived, I knew Samaritan’s Purse had to do everything we could to help,” President Franklin Graham said.

Thirty-two of the children’s primary school classmates and three adults—two teachers and the driver—were killed in the May 6 crash when their bus plunged off a gravel road into a steep ravine in remote northern Tanzania. They were on the way to another school to take an exam when the accident occurred. Tanzania President John Magufuli called the accident a national tragedy.

How the plight of the surviving children came to the attention of Franklin Graham is providential at every step and begins with three missionaries who acted as Good Samaritans at the scene of the horrifying crash. The missionaries, serving with Siouxland Tanzania Education Medical Ministries (STEMM), happened upon the accident moments after it occurred.

Jumping out of their vehicle and rushing to join others already scurrying to help were Jennifer Milby, a licensed nurse practitioner; Manda Volkers, a nurse with 25 years of experience; and Kevin Negaard, the executive director of Sunnybrook Church in Sioux City.
As they pulled bodies from the wreckage, the missionaries found three children who, despite massive injuries, still had heartbeats. After stabilizing them, the missionaries helped put them into arriving ambulances, which rushed them to a local hospital.

“Kevin, Jennifer, and Manda were by the sovereignty of God late by an hour and a half that morning to where they were going,” explained Dr. Steven Meyer, a Sioux City orthopedic surgeon and STEMM’s co-founder and board president.

“If they had been two minutes earlier, they never would have seen it, and they never would have known about it. “There’s no question that God put them there at that point in time,” Dr. Meyer added.

The three visited Wilson, Sadhia, and Doreen at the hospital the next day and thanked God they were alive and stabilized. But the team knew the children needed much more extensive medical care beyond what local hospitals could provide. That’s when they sensed that God wanted them to do everything they could to bring them to America. They approached Dr. Meyer and other board members who were also in Tanzania for that trip and told them of their conviction.
They discussed it, prayed about it, and contacted medical personnel at the Mercy Medical Center in Sioux City as to its feasibility. They received the green light.

Now they had to receive approval from the Tanzanian government. At the same time, how would the children be transported to Iowa? Major pieces of the puzzle still had to be solved. The STEMM team prayed for God’s direction. Over the next 72 hours, His provision became clear.

God Answers Many Prayers

Lazaro Nyalandu, a STEMM co-founder and former member of Tanzania’s parliament, arranged a meeting for Dr. Meyer with Samia Suluhu Hassan, Tanzania’s vice president. She agreed to talk with the country’s president John Magufuli.

Meanwhile, Dr. Meyer and others began contacting U.S. government officials to explore the use of a military evac plane. When those talks stalled, Rep. Steve King from Iowa’s 4th congressional district—a good friend of Dr. Meyer’s—contacted Franklin Graham. He called Dr. Meyer and offered his assistance.

Dr. Meyer was stunned by Graham’s telephone call.

“When he said, ‘Dr. Meyer, this is Franklin Graham from Samaritan’s Purse, how can we help you,’ I just broke down,” Dr. Meyer said. “I sensed the hand of God on my shoulders and the Lord telling me, ‘Take a deep breath, this is going to happen, I’ve got this.’”

Within 30 minutes, a Samaritan’s Purse disaster response team was assembled and rushed into action—gaining special clearances from the FAA to allow two flight crews to fly the plane 24 hours nonstop.

At a heartrending memorial service in Tanzania for the 35 who were killed, tens of thousands attended. Vice President Hassan recognized the efforts of the American missionaries and thanked them. Then she said that her government would assist in every way possible in the transport of the three surviving children to America and back again. God provided once more.

And so that’s how the Samaritan’s Purse DC-8 aircraft brought these injured children to America for trauma care.

“We are so grateful for Mercy Medical Center Sioux City providing the medical care they need,” Graham said. “I believe God has a plan for these children, and we are praying for their recovery.”

“I believe God has a plan for these children, and we are praying for their recovery.”—Franklin Graham

Dr. Meyer anticipates the children will be in Sioux City for a couple of months.

Following extensive surgeries, the children will receive physical therapy as well as counseling to help them recover emotionally and psychologically. While there, they and their mothers will stay at the homes of local residents, who have opened up their arms and embraced these families.

“The entire country of Tanzania is going viral with this story,” said Dr. Meyer, who committed his life to Jesus Christ 21 years ago while attending an open-air meeting in Hong Kong.

“It’s been baffling to many Tanzanians, some of whom are Muslims, why these Americans were willing to help save these children,” he added. “It’s been a ray of light in this tragic event where God gave us a tremendous opportunity to share Jesus’ love and to help them understand what the Gospel really means.”

Please pray for the children and the doctors who will be treating them.

_Samaritan's Purse stands ready to respond at a moment’s notice whenever and wherever disaster strikes. We specialize in meeting critical needs for victims of conflict, disaster, famine, and epidemics throughout the world, often working through ministry partners on the ground. We provide food, water, shelter, medicine, and other assistance in the Name of Jesus Christ._

JIMBO LA ARKANSAS LATEKELEZA ADHABU YA KIFO KWA WAFUNGWA WAWILI


Jimbo la Arkansas limewatekelezea adhabu ya kifo wafungwa wawili kwa siku moja waliohukumiwa adhabu ya kifo baada ya Mahakama ya Juu kukataa pingamizi lao la dakika za mwisho.

Wafungwa hao Jack Jones na Marcel Williams wote walihukumiwa adhabu ya kifo kwa makosa ya ubakaji na mauaji waliyoyatenda katika miaka ya 1990.

Jimbo la Arkansas limepanga kutekeleza adhabu ya kifo kwa watuhumiwa nane baada ya kubaini kuwa dawa ya sindano wanayotumia kuulia inaisha muda wake wa matumizi mwisho wa wezi huu.

Hii ni mara ya kwanza kutekelezwa kwa adhabu ya kifo kwa wafungwa wawili katika siku moja tangu kupita miaka 17 nchini Marekani.

                                         Kitanda maalum kwa ajili ya kutekelezea adhabu ya kifo

WATEJA WALALAMIKA NDEGE ZA BRITISH AIRWAYS KUISHIWA NA CHAKULA

Shirika la Ndege la British Airways limekabiliana na malalamiko kutoka kwa abiria wa ndege zake kufuatia kuishiwa na vyakula zikiwa safarini.

Shirika hilo pia pia limekuwa likikabiliwa na tatizo la kushindwa kuwa na akiba ya kutosha ya karatasi za kutumia chooni.

Matatizo hayo yameibua malalamiko mengi ya wateja, wengi wao bado wamekerwa na uamuzi wa shirika hilo kuondoa chakula cha bure katika safari fupi.

WANAFUNZI WAPONDA RAHA FUKWE ZA MIAMI NA KUSABABISHA USUMBUFU


Polisi katika pwani ya Miami wanakabiliana hali ngumu ya kudhibiti usalama dhidi ya maelfu ya wanafunzi wa vyuo waliojaa kwenye Ufukwe wa Kusini baada ya kumalizika majira ya kipupwe.

Wanafunzi hao wamekuwa wakijirusha kwa kunywa pombe, kucheza huku wakisababisha uchafu mkubwa kwa kutupa chupa pamoja na taka nyingine nyingi katika fukwe hiyo hali inayochangia uharibifu wa mazingira.

Katika maeneo yote ya fukwe nchini Marekani maafisa wa majiji wanawakati mgumu katika kipindi hiki ambacho watu hufanyasherehe kwa wiki kadhaa wakiwa kwenye fukwe wakinywa pombe, kucheza na kufanya mambo mengine yasiyoyakistaarabu.
Polisi walio kwenye pikipiki za magurudumu manne wakijaribu kudhibiti nidhamu ufukweni
Wanafunzi wakiwa wamepozi katika moja ya magari ya polisi wakipiga picha katika ufukwe huku Miami
Hali ya uchafuzi wa mazingita inavyoonekana kufuatia kuanza kwa sherehe hizo katika fukwe kadhaa Marekani
Polisi wakiwa katika jukumu la kujaribu kuimarisha usalama na utulivu katika fukwe ya Miami

RAIS DONALD TRUMP AMPIGIA SIMU RAIS UHURU KENYATTA


Rais Donald Trump amempigia simu rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ikiwa ni simu yake ya nne kupiga kwa kiongozi wa taifa la Afrika tangu aingie madarakani.

Katika maongezi yao yaliyofanyika jana mchana, viongozi hao wameahidi kuimarisha ushirikiano baina ya mataifa hayo mawili.

Simu ya kwanza ya Trump kwa kiongozi wa Afrika ilikuwa ni baina yake na rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ambapo walizungumzia masuala ya tatizo la ugaidi.


WANANCHI WASHANGAA MABOMBA KUTOA MAJI YA PINKI CANADA

Mamlaka ya mji wa Alberta nchini Canada imewaomba radhi wananchi baada ya maji ya bomba yaliyowekwa dawa kubadilika na kuwa na rangi ya pinki.

Wakazi wa eneo la Onoway katika mji wa Alberta, waliwasilisha malalamiko yao kwa mamlaka ya mji buo baada ya mabomba yao kuanza kutoa maji yenye rangi ya pinki siku ya jumatatu.

Meya wa Albert, Dale Krasnow, ameutoa hofu umma na kusema maji hayo hayana madhari kwani hali hiyo ilitokana na kemikali ya kutibu maji ya Potassium permanganate.

JOINT UN WOMEN AND UNESCO MESSAGE FOR INTERNATIONAL WOMEN'S DAY - 08 MARCH 2017


Joint Message from UN Women Representative, Maria Karadenizli and UNESCO Head of Office and Representative for the United Republic of Tanzania, Ms Zulmira Rodrigues on International Women’s Day 

-Everybody has a stake in promoting equality between men and women, at all levels of society 

“The story of women’s struggle for equality belongs to no single feminist nor to any one organization but to the collective efforts of all who care about human rights.” These words by activist Gloria Steinem testify to the universal nature of the fight for women’s rights and once a year, on 8 March, we restate our commitment to gender equality as a force driving dignity for all. 

Inequality between men and women penalizes societies at all levels of development. The violence, injustice and stereotypes suffered by too many women in their personal or professional lives undermine society as a whole, and deprive of it considerable potential for creativity, strength and confidence in the future. As the United Nations has adopted the ambitious 2030 Agenda for Sustainable Development, the full empowerment of girls and women is one of humanity’s most powerful levers for development. 

Rural women are directly responsible for the production of half the world’s food – and it is primarily women who manage and gather natural resources. Ninety per cent of rapes in the world take place precisely when women are on their way to collect water or firewood. Two thirds of illiterate adults in the world are women. One in three women is subject to physical violence in the private sphere, and the wage gap between men and women, for equal work and with equal skills, is a fact across the world. 

For UNESCO, the main engine for change rests on education, training, and the possibility given to all girls and women of pursuing careers in research, politics and culture. Equality also lies in ridding the media and collective imagination of prejudice by highlighting the women scientists, artists and politicians who are moving humanity forward in all fields. On the occasion of this 2017 International Women’s Day, UNWOMEN and UNESCO call on all to make a commitment to women’s’ rights, and thereby enhance rights and dignity for all.

WAKAZI WA KIRINYAGA NCHINI KENYA WAHOFIA KULISHWA NYAMA YA PUNDA


Wakazi wa kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya wamekumbwa na hofu ya kuwa huenda wamekuwa wakilishwa nyama ya punda baada ya kuonekana mabaki ya vichwa vya punda katika maeneo kadhaa ya kaunti hiyo.

Mkazi wa kaunti ya Kirinyaga katika kijiji cha Murubara Bi, Wariara Githinji amesema wameshangazwa kubaini vichwa vinne vya punda vikiwa vimetelekezwa katika eneo mabalo wanyama hao wamechinjwa.

Vichwa hivyo na mabaki mengine ya punda ikiwemo utombo vilibanika na watoto waliokuwa wakienda shule ambao walikuwa wakishangaa hali iliyowavuta watu wazima waliokuwa wakipita njia.

MZEE WA MIAKA 98 AMUOA MZEE WA MIAKA 88

Mzee Willy Kinyua (98) amefunga ndoa na Joyce Nyambura (88) baada ya wenza hao kuishi pamoja kwa zaidi ya miaka 60.
Wamefunga ndoa katika Kanisa la Ubatizo lililopo Solai kwenye Kaunti ya Nakuru nchini Kenya.
Wanandoa hao wenye watoto watano wanatembea kwa kutumia fimbo.
Kinyua amesema, alikuwa miongoni mwa waliopigana vita ya MauMau na kwamba, ingawa alikuwa porini kwa miaka tisa, Nyambura hakumsaliti.
“Nampenda Nyambura, ni mwanamke mrembo ambaye kila mara amekuwa chanzo cha nguvu zangu na kunitia moyo. Hajawahi kunisaliti ” amesema mzee huyo baada ya kufunga ndoa.
“Nampenda (Nyambura) kwa sababu ni mrembo sana. Nimfunue sura yake umuone” alimuuliza muongoza ibada akijibu swali la kiongozi huyo wa kiroho.
Nyambura amesema, amefurahi kusheherekea ndoa yake kama ambavyo kila mwanamke angependa iwe hivyo.
Bibi hiyo amesema, alimpenda sana Kinyua na kwamba wamekuwa wakiishi kwa amani.
Kwa mujibu wa Nyambura, ndoa zinavunjika kwa sababu wanaume wengi wanawasaliti wake zao kwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake wengine.

Simu iliyokuwa ikitumiwa na Adolf Hitler imeuzwa kwa dola 240,000


Simu iliyokuwa ikutumiwa na kiongozi wa Kinazi wa Ujerumani, Adolf Hitler, wakati wa vita vya pili vy dunia, imeuzwa kwa dola 240,000 katika mnada uliofanyika nchini Marekani. Bei ya chini ilianzia dola 100,000 na hatimaye kununuliwa na mtu aliyekataa kutajwa jina kwa dola 243,000. Simu hiyo iliyoandikwa jina la Adolf Hitler, ilipatikana katika handaki la mjini Berlin, alimokuwa amejificha Hitler wakati wa vita vya pili,1945.

HARRISON FORD ANUSURIKA KUPATA AJALI YA NDEGE

Muigizaji filamu nyota Mmarekani, Harrison Ford, 74, amenusurika kupata ajali ya ndege aliyokuwa akiiendesha huko California, nchini Marekani.

Imeelezwa kuwa tukio hilo lilitokea pale alipopewa maelekezo ya kutua katika njia ya kutulia ndege katika uwanja wa ndege wa John Wayne uliopo kaunti ya Orange.

Hata hivyo Ford alitua vibaya katika njia ya ndege zilizopakiwa na kupitiliza karibu na ndege ya American Airlines iliyokuwa na abiria 110 na watumishi.
                Muigizaji filamu Harrison Ford akiangalia ndege yake baada ya kutua asipostahili

CRISTIANO RONALDO AMNUNULIA ZAWADI ZA VALENTINE MPENZI WAKE GEORGINA RODRIGUEZ

Mpenzi wa Cristiano Ronaldo, Georgina Rodriguez, amepata Siku ya Wapendanao bora baada ya kununuliwa vitu kadhaa Jijini Madrid.

Wawili hao walibainisha wazi mahusiano yao kwa mara ya kwanza Novemba huko Disneyland Paris, na tangu hapo imekuwa kawaida kuwaona pamoja mara kwa mara.

Nyota huyo wa Real Madrid, Ronaldo alipigwa picha jana Jijini Madrid akinunua vitu dukani na kuibuka na mifuko yenye zawadi za Valentine za mpenzi wake Rodriguez.
   Cristiano Ronaldo akiwa ameshika mfuko wenye zawadi alizomnunulia mpenzi wake Georgina
    Cristiano Ronaldo akifungua mlango wa gari lake baada ya kumaliza kufanya manunuzi

MSHAURI WA MASUALA YA USALAMA WA RAIS DONALD TRUMP AJIUZULU

Mshauri wa Masuala ya Usalama wa rais Donald Trump, Michael Flynn, amejiuzulu kufuatia mawasiliano yake na Urusi.

Bw. Flynn anatuhumiwa kufanya mazungumzo kuhusu vikwazo vya Marekani na Balozi wa Urusi, kabla ya rais Trump kuingia madarakani.

Inasemekana kwamba Bw. Flynn aliwapotosha maafisa wa Marekani kuhusian na yeye kufanya mazungumzo hayo.

Ziara Ujumbe Shirika la Ndege Tanzania ATCL Visiwani Komoro

 Bw. Ladislaus Matindi akisamilimiana na Gavana wa Anjoun Mhe. Abdou Salam Abdou
 Mazungmzo yakiendelea katika ofisi ya Gavana
 Mhe Balozi akilakiwa na viongozi mbalimbali wa Kisiwa
 Mhe Balozi akiongoza kikao na wadau wa biashara kutoka Kisiwa cha Anjoun
 Mke wa Balozi Mama Irene Kilumanga akimsalim Gavana.
Wajumbe walipowasili Kisiwa cha Anjoun


TAARIFA FUPI ZIARA YA UJUMBE WA ATCL VISIWANI KOMORO TAREHE 06 FEBRUARI, 2017
Ujumbe wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL Limited) uliwasili Visiwani Komoro tarehe 5 February, 2017. Ujumbe huo ukiongozwa na Bw. Emmanuel Korosso ulipokelewa na Mhe. Chabaka Kilumanga, Balozi wa Tanzania, Visiwani Komoro. Aidha Mwenyekiti huyo aliongozana pia na Bw. Ladislaus E. Matindi Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL. 

Madhumini ya ziara hiyo ilikuwa ni kuja kuangalia namna gani ATCL inaweza kutanua wigo wa safari zake Visiwani Komoro. Hii ikiwa ni sehemu ya mkakati wa shirika hilo kuweza kulidhibiti kikamilifu soko la anga la Visiwa vya Komoro ambapo kwa sasa Soko hilo limekuwa na ushindani mkubwa kutoka kwa mashirika mengine ya Kimataifa kama vile  Ethiopian Airlines, Air Madagscar, Kenya Airways n.k.
Katika ziara hiyo, wajumbe walipata fursa ya kuongozana na Mhe. Balozi kwenda Kisiwa cha Anjoun na kufanya mazungumzo na Gavana wa Kisiwa hicho Mhe. Abdou Salami Abdou. Ifahamike kwamba Shirika la ndege la ATCL hufanya safari zake mara tatu kwa wiki Visiwani Komoro ambapo ndege hiyo hutua katika uwanja wa Kimataifa wa Prince Said Ibrahim Jijini Moroni. 

Komoro ni Muungano wa Visiwa Vitatu ambavyo ni Anjoun, Ngazidja na Moheli.  Hata hivyo imeonekana kuwa abiria wengi wanaosafiri kuja Tanzania kwa ajili ya shughuli za biashara hutokea Katika Kisiwa cha Anjoun.  Imejidhihirisha kuwa  abiria kutoka Ksiwa cha Anjoun hupata usumbufu kwa vile hakuna safari za moja kwa moja kutoka Kisiwa hicho kwenda Dar es Salaam, hali ambayo imeonekana kuongeza ghara za usafiri kwa abiria hao.
Aidha katika mazungumzo yao na Gavana wa Kisiwa cha Anjoun ujumbe huo uliwasilisha maombi ya ATCL kupewa kibali cha kutua Kisiwa cha Anjoun ambapo Gavana huyo aliridhia maombi hayo na kueleza kufurahishwa kwake na dhamira ya ATCL kufanya safari zake Kisiwani hapo. 

Mhe. Gavana alieleza pia safari za ATCL Visiwani hapo zitasaidia katika kukuza mahusiano ya biashara kati ya Tanzania na Komoro pamoja na kupunguza gharama za usafiri kwa abiria wanaotokea kwenye Kisiwa hicho. Kwa upande wake Balozi wa Tanzania Visiwani Komoro, Mhe. Chabaka Kilumanga alieleza pia kuwa jukumu kubwa la Ubalozi ni kuhakikisha kuwa mahusiano ya biashara kati ya Tanzania yanakuzwa na kwamba usafiri wa anga ni njia moja wapo ya kukuza mahusiano hayo. Mhe. Balozi aliendelea kwa kueleza kuwa lengo ni kuona Dar es Salaam inakuwa ni kitovu cha Biashara hivyo hakuna budi kukawepo ufanisi katika usafiri wa anga na usafiri wa maji.
Sambamba na hilo, Ujumbe wa ATCL pamoja na Balozi walipata fursa pia ya kufanya mazungumzo na wadau kutoka Sekta ya Biashara wa Kisiwa cha Anjoun ambapo pamoja na mambo mengine Mkurugenzi Mtendaji wa ATCL Bw. Ladislaus Matindi aliwahakikishia wana Anjouna kuwa shirika la Ndege la ATCL la sasa sio kama la zamani na kwamba shirika hilo limejidhatiti katika kuboresha huduma zake. 

Aidha Mkurugenzi huyo alieleza kuwa shirika hilo limeweza kuondoa usumbufu mwingi uliokuwa ukijitokeza hapo nyuma ikiwemo suala la upotevu wa mizigo, kufutwa kwa safari bila maelezo, ucheleweshaji wa abiria na mizigo yao,  alieleza kuwa shirika hilo linatambua umuhimu wa wadua wa biashara kutoka Kisiwa cha Anjoun na ndio maana ameeongozana na Mwenyekiti wa Bodi Visiwani hapa ili kuweza kusikiliza changamoto zinazowakabili wafanya biashara hao na kushauriana juu ya namna gani changamoto hizo zitapatiwa ufumbuzi.
Kw upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya ATCL Bw. Emmanuel Korosso alielekeza shukurani zange kwa wadau wa biashara Kisiwani Anjoun na kuendelea kusisitiza kuwa Shirika la Ndege la Tanzania limedhamiria katika kuboresha ufanisi kwenye utendaji wake na kwamba shirika hilo linasimama pamoja na Wakomoro katika kuhakikisha lengo hilo linafanikiwa. 

Mwenyekiti aliendelea kwa kueleza kuwa anatambua changamoto ambazo zimekuwa zikiwakabili abiria wa Anjoun na kwamba changamoto hizo siku zake zinahesabika. Aliahidi kuwa yale yote ambayo ATCL imedhamiria kufanya yatatekelezwa tena kwa wakati muafaka kwani Ofisi ya Ubalozi ipo kwa ajili ya kufanya hivyo.

BONDIA CHRIS EUBANK JR ATWAA UBINGWA WA IBO SUPER MIDDLEWEIGHT


Bondia Chris Eubank Jr ameshinda mkanda wa IBO wa super middleweight kufuatia ushindi alioupata katika raundi ya 10 dhidi ya Renold Quinlan wa Australia.

Eubank Jr mtoto wa bondia wa zamani wa Uingereza, amepata ushindi wake katika raundi ya 10 kwa ngumi kali ya kidevu katika mchezo uliofanyika Kensington Olympia, London.

Refa Howard Foster aliingilia kati kumaliza mchezo huo, na Eubank Jr kupatiwa mkanda wa IBO super middleweight.
                                            Chris Eubank Jr akimshindilia ngumi Renold Quinlan
     Chris Eubank Jr akiwa amemtupia konde zito lililomuingia barabara Renold Quinlan
   Chris Eubank akiwa amevaa mkanda alioutwa kulia mwenye bendera baba yake bondia maarufu wa zamani Eubank 

JANET JACKSON AONEKANA HADHARANI KWA MARA YA KWANZA TANGU AJIFUNGUE


Mwanamuziki Janet Jackson ameonekana kwa mara ya kwanza hadharani Jijini London akifanya manunuzi tangu ajifungue mtoto Eissa.

Janet Jackson na mumewe Wissam Al Mana walifanikiwa kumpata mtoto wao wa kwanza wa kiume Eissa wiki tatu zilizopita.

Janet alikuwa ameambatana na rafiki yake ambaye alikuwa amebeba mifuko yenye nguo za mtoto alizonunua kwenye duka hilo.

         Janet Jackson akiwa na rafiki yake aliyebeba mifuko yenye nguo za mtoto alizonunua