MSHAURI WA MASUALA YA USALAMA WA RAIS DONALD TRUMP AJIUZULU

Mshauri wa Masuala ya Usalama wa rais Donald Trump, Michael Flynn, amejiuzulu kufuatia mawasiliano yake na Urusi.

Bw. Flynn anatuhumiwa kufanya mazungumzo kuhusu vikwazo vya Marekani na Balozi wa Urusi, kabla ya rais Trump kuingia madarakani.

Inasemekana kwamba Bw. Flynn aliwapotosha maafisa wa Marekani kuhusian na yeye kufanya mazungumzo hayo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni