Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam 
amewataja majina mtandao wa wauza unga au dawa za kulevya wakiwemo 
maofisa 9 wa jeshi la polisi mkoani kwake na wasanii wa mziki wa bongo 
flava na movie.
 Wapo pia ambao wako ndani wanashikiliwa na jeshi la polisi lakini 
wasanii hao wote wameambiwa kureport kituo cha polisi bila shurti.
 Nao hao maofisa tisa amempa siku 7 
kamanda Siro kuwawajibisha na kama hata fanya hivyo basi kamanda Siro 
awajibike mwenyewe katika hilo.
 Na ameahaidi kuendelea na mapambano hayo ya kusaka mtandao wote katika 
mkoa wake aidha pia amesema yupo tayari kuacha kazi ama kufa kwa ajili 
ya hilo.
 Ameyasema hayo muda huu katika ofisi yake akiwa na waandishi wa habari. # RFA 
     
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni