Madiwani
 wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi wakiwasili katika Hospitali ya 
Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro,Maawenzi wakiwa  wamebeba zawadi mbalimbali
 kwa ajili ya kutoa kwa wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo  
 Katibu
 wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Kilimanjaro,Mawenzi ,Boniface Lyimo 
akizungumza mara baada ya kuwapokea Madiwani hao na kutoa maelekezo ya 
namna ya kutoa zawadi hizo kwa wagonjwa waliolazwa katika Hospitali hiyo
  
 Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi,wakielekea katika wodi walimolazwa wagonjwa kwa ajili ya kutoa zawadi.  
 Mwenyekiti
 wa Madiwani wa Chadema na Diwani wa kata ya Kiusa,Stephen Ngasa 
akikabidhi zawadi ya sabuni ya unga kwa wagonjwa waliolazwa katika 
Hopstali ya Mawenzi.  
 Diwani wa kata ya Mawenzi,Hawa Mushi akitoa zawadi kwa mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika hospitali hiyo.  
 Diwani wa kata Pasua ,Charles Mkalakala akikabidhi zawadi kwa mmoja wa wagonjwa katika Hospitali hiyo.  
 Madiwani wakiongojea kuingia katika wodi nyingine kwa ajili ya kutoa zawadi kwa wagonjwa katika hospitali hiyo.  
 Madiwani wakitoa zawadi katika wodi ya wanawake Hospitali ya Mawenzi  
 Mwenyekiti
 wa Madiwani wa Chadema,Stephen Ngasa akizungumza na baadhi ya viongozi 
wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro,awenzi mara baada ya 
kuhitimisha zoezi la kutoa zawadi kwa wagonjwa pamoja na kusafisha 
mazingira katika Hospitali hiyo.  
 Mwenyekiti
 wa Madiwani wa Chadema,Stephen Ngasa akiagana na katibu wa Hosptali ya 
Mawenzi ,Boniface Lyimo mara baada ya kuhitimisha zoezi la kutoa zawadi 
na kusafisha mazingira ya hosptali hiyo. 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni