MAJALIWA AKERWA NA KIWANDA CHA MBOLEA CHA MINJINGU KUWEKA MBOLEA KWENYE MIFUKO INAYOONYESHA KUWA MBOLEA YA KIWANDA HICHO IMEZALISHWA KENYA


1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha Mifuko ya mbolea ya kiwanda cha Minjingu mkoani Manyara ikiwa na maandishi yanayoonyesha kuwa mbolea hiyo inazalishwa nchini Kenya. Mifuko hiyo ambayo ilishuhudiwa na Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa Februari 19, 2017 wakati alipotembelea kiwanda hicho, ilimkera sana na aliuagiza uongozi wa kiwanda hicho kumuandikia barua Rais John Pombe Magufuli ya kumuomba radhi kwa kitendo hicho.
2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha Mifuko ya mbolea ya kiwanda cha Minjingu mkoani Kagera ikiwa na maandishi yanayoonyesha kuwa mbolea hiyo inazalishwa nchini Kenya. Mifuko hiyo ambayo ilishuhudiwa na Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa Februari 19, 2017 wakati alipotembelea kiwanda hicho, ilimkera sana na aliuagiza uongozi wa kiwanda hicho kumuandikia barua Rais John Pombe Magufuli ya kumuomba radhi kwa kitendo hicho.
1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza kabala ya kutembelea kiwanda cha mbolea cha Minjingu mkoani Manyara kuanza awamu ya pili ya ziara yake mkoani humo Februari 19, 2017. Kulia ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Uvuvi, Dkt, Charles Tizeba na kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa ManyaraDkt. Joel Bendera. Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Babati, Raymound Mushi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni