WAZIRI 
MKUU Kassim Majaliwa akizungumza na mabalozi ambao wanaiwakilisha 
Tanzania nje ya nchi na wanatarajiwa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi
 hivi karibuni, Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, Februari 7, 2017 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 WAZIRI 
MKUU Kassim Majaliwa akizungumza na mabalozi ambao wanaiwakilisha 
Tanzania nje ya nchi na wanatarajiwa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi
 hivi karibuni, Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, Februari 7, 2017 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 WAZIRI 
MKUU Kassim Majaliwa akizungumza na mabalozi ambao wanaiwakilisha 
Tanzania nje ya nchi na wanatarajiwa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi
 hivi karibuni, Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, Februari 7, 2017 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAZIRI 
MKUU Kassim Majaliwa akizungumza na mabalozi ambao wanaiwakilisha 
Tanzania nje ya nchi na wanatarajiwa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi
 hivi karibuni, Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, Februari 7, 2017 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAZIRI 
MKUU Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na mabalozi 
wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali baada ya kuzungumza nao 
Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, Februari 7, 2017. Kutoka kushoto ni 
Samwel Shelukindo (Ufaransa), Dkt. James Msekela (Uswisi), Mbelwa 
Kairuki (China), Paul Mella (DRC), Dkt. Emmanuel Nchimbi (Brazil) George
 Madafa (Italy) na Elizabeth Kiondo (Uturuki). (Picha na Ofisi ya Waziri
 Mkuu)
WAZIRI 
MKUU Kassim Majaliwa akisalimiana na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania 
nje ya nchi baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, 
Februari 7, 2017 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAZIRI 
MKUU Kassim Majaliwa akisalimiana na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania 
nje ya nchi baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam, 
Februari 7, 2017 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni