
Spika  wa  Bunge  Mhe.  Job  Ndugai  (Mb)  amefanya  nyongeza  na  mabadiliko  ya  baadhi  ya 
Wajumbe katika Kamati za Kudumu za Bunge ili kuwawezesha Wabunge wapya kuwa
Wajumbe katika Kamati za Kudumu za Bunge ikiwa ni pamoja na kuziwezesha Kamati
Wajumbe katika Kamati za Kudumu za Bunge ili kuwawezesha Wabunge wapya kuwa
Wajumbe katika Kamati za Kudumu za Bunge ikiwa ni pamoja na kuziwezesha Kamati
kutekeleza  majukumu  yake  kwa  ufanisi  kutoka  na  uwiano wa  Wajumbe  katika  Kamati 
hizo. Wabunge wapya waliopangiwa Kamati za Kudumu za Bunge ni pamoja na;
hizo. Wabunge wapya waliopangiwa Kamati za Kudumu za Bunge ni pamoja na;
(a)  Mhe.   Abdallah   M.   Bulembo   (Mb)  amepangiwa  kuwa  Mjumbe  wa  Kamati  ya 
Kudumu ya Bunge ya Bajeti;
Kudumu ya Bunge ya Bajeti;
(b)   Mhe.  Anne  K.  Malecela  (Mb) amepangiwa  kuwa  Mjumbe  wa  Kamati  ya  Kudumu 
ya Bunge ya Nishati na Madini;
ya Bunge ya Nishati na Madini;
  amepangiwa  kuwa  Mjumbe  wa  Kamati  ya  Kudumu ya  Bunge  ya  Huduma  na  Maendeleo  ya  Jamii;  na
(d) Mhe.  Prof.  Palamagamba  P.A  Kabudi  (Mb) amepangiwa  kuwa  Mjumbe  wa  Kamati 
ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria.
ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria.
Aidha, pamoja  na  nyongeza  hiyo  ya  Wajumbe  kwenye  Kamati  za  Bunge, Mhe  Spika  pia 
amemuamisha Mhe. Pudenciana W. Kikwembe (Mb) kutoka katika Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa na kuwa Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya
amemuamisha Mhe. Pudenciana W. Kikwembe (Mb) kutoka katika Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa na kuwa Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya
Bunge  ya  Miundombinu.
Mabadiliko  haya  yamefanywa  chini  ya  Kanuni  ya  116  (3)  hadi (5)  ya  Kanuni  za  Kudumu   
za Bunge, Toleo la Januari, 2016 inayompa Spika Mamlaka ya kuteua Wabunge ili wawe
za Bunge, Toleo la Januari, 2016 inayompa Spika Mamlaka ya kuteua Wabunge ili wawe
Wajumbe  katika Kamati mbalimbali za Bunge ikiwa ni pamoja na Mamlaka  ya  kuongeza, 
kubadilisha au hata kupunguza idadi ya Wajumbe katika Kamati za Kudumu za Bunge.
kubadilisha au hata kupunguza idadi ya Wajumbe katika Kamati za Kudumu za Bunge.
Kwa   mujibu   wa   waraka   Na.  01/2017  uliotolewa   na  Mhe   Spika,  mabadiliko   haya   ya 
wajumbe kama ilivyoainishwa hapo juu yataanza kutekelezwa mara moja kuanzia mwezi
wajumbe kama ilivyoainishwa hapo juu yataanza kutekelezwa mara moja kuanzia mwezi
huu wa Febuari,  2017.
Imetolewa na:
Kitengo  cha  Habari,  Elimu  na  Mawasiliano 
Ofisi ya Bunge
Ofisi ya Bunge
DODOMA
20  Febuari,  2017 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni