Baadhi
 ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi
 (MUWSA) wakishusha miti tayari kwa ajili ya kuotesha kando ya vyanz vya
 maji vinavyosimamiwa na mamlaka hiyo.
Kaimu
 Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi 
(MUWSA) John Ndetiko akiwa amebeba mti tayari kwa ajili ya kuotesha 
kando ya chanzo cha maji cha Shiri kilichopo wilayani Hai.
Baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi wakisaidia katika zoezi la ubebabji miti kwa ajili ya kuotesha.
Wafanyakazi wa MUWSA wakiwa wamebeba mit kwa ajili ya kuotesha katika chanzo cha maji cha Shiri.
Kaimu Mkurugenzi wa MUWSA,John Ndetiko akiotesha mti katika eneo la chanzo cha maji cha Shiri.
         Baadhi ya wafanyakazi wa MUWSA wakiotesha miti katika chanzo hicho.
Hii
 ni sehemu ya mitiiliyooteshwa Mwaka jana katika eneo hilo zoezi 
lililooongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimajaro Saidi Mecky Sadicki.
Huu ndio mti uliooteshwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Saidi Mecky Sadicki katika eneo hilo.
Chanzo
 cha maji cha Shiri kilichopo wilayani Hai kinachoimamiwa na Mamlaka ya 
Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi.(MUWSA.)
Wafanyakazi
 wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) wakiwa
 katika picha ya pamoja mara baada ya kuotesha miti katika chanzo hicho.
Chanzo kipya cha maji cha Mkashilingi kilichopo jirani na chanzo cha chemichei cha Shiri.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni