FREEDOM HOUSE YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI WA MITANDAO YA KIJAMII


1
Clerance Kipobota kutoka Shirika la Freedom House  ambaye amemwakilisha mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo akifungua semina ya (Alternative Media) kwa  waandishi wa habari za Mitandao ya kijamii (Online Platform Reporters) inayofanyika kwenye Hoteli ya  Flomi mjini Morogoro.
……………………………………………………………
Shirika la Kimataifa la Freedom House linaendesha mafunzo kwa waandishi wa habari wa  mitandao ya kijamii ‘bloggers’ kutoka mikoa mbalimbali nchini kwa ajili ya kuwajengea uwezo kuhusu namna kuendesha vyombo vya habari mbadala.
Mafunzo hayo ya siku mbili ‘Julai 26 – 27,2018’ kuhusu Vyombo vya habari mbadala ‘Alternative Media’ yaliyoratibiwa na Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari  Tanzania (UTPC) yanafanyika katika ukumbi wa Flomi Hotel mkoani Morogoro.
Awali akifungua mafunzo hayo,Mwakilishi wa Mkurugenzi wa shirika la Freedom House Clarence Kipobota alisema kupitia mafunzo hayo waendeshaji wa mitandao ya kijamii watajifunza mbinu mbalimbali kuhusu namna ya kuendesha mitandao yao.
“Tutajengeana uwezo na kujadili na kuunda jukwaa moja la waandishi ambao wanatumia Alternative Media”,alieleza.
4
Mwezeshaji wa semina hiyo Bw. Daniel Lema akitoa mada kwa waandishi wa habari katika semina inayofanyika katika hoteli ya Flomi mjini Morogoro.
kadam
Mwezeshaji John Kaoneka akitoa mada katika semina hiyo kuhusu mitandao ya kijamii.
23
567  1011121314151617
Victor Maleko Afisa Mafunzo , Utafiti na Machapisho UTPC akiwa katika semina hiyo.
18
Picha mbalimbali zikionyesha washiriki wa semina hiyo
1920
9
Waandishi wa habari wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua semina hiyo.
9

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni