Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo SIASA. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo SIASA. Onyesha machapisho yote

HII NDIO YA TASWIRA YA JINSI MAGUFULI ALVYOITIKISA KATAVI,WAZIRI MKUU PINDA AMNADI KWA KISHINDO

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli akihutubia wakati wa mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Azimio mjini Mpanda, mkoani Katavi.

Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) : http://ow.ly/KNICZ

 Waziri Mkuu MizengO Pinda akimtambulisha Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt John Pombe Magufuli mbele ya umati wa watu waliofurika jioni ya leo kwenye uwanja wa Azimio mjini MPanda mkoani Katavi wakati wa muendelezo wa kampeni za chama hicho mkoani humo leo.Chama cha CCM kimezindua kampeni zake jana katika viwanja vya Jangwani jijini Dar na kuhudhuriwa na maelfu ya wanachama na wakereketwa wa chama hicho cha CCM
 Wananchi wakishangilia wakati  Waziri Mkuu Pinda alipokuwa akimnadi Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli  wakati wa mkutano wa kampeni katika Uwanja wa  Azimio mjini Mpanda, mkoani Katavi
 Sehemu ya umati wa watu waliokuwa wamefurika leo katika uwanja wa Azimio mjini MPanda wakimsikiliza kwa makini Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jonh Pombe Magufuli kupitia chama cha CCM,mkoani Katavi.
Wananchi wa kata ya Katumba wilayani Nsimbo wakiwa wamekusanyika kwa wingi kumsikiliza Dk Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni katika Kata hiyo, wilayani Nsimbo mkoani Katavi 
Waziri Mkuu Pinda akimuelekeza jambo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokwenda kuwahutubia wananchi wa Mpanda mjini kwenye kutano wa kampeni  mkoani Katavi.
   Sehemu ya umati wa Wananchi wa kata ya Mishamo,wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM,Dkt John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni,wilayani Mpanda mkoani Katavi. 



  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimtambulisha Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni  katika kata ya  Mishamo,wilayani Mpanda mkoani Katavi.
 Mmoja wa wananchi akimshangilia Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika kijiji cha Mpandandogo,mkoani Katavi
 Sehemu ya Wananchi wa kata ya Mishamo,wakisubiri kumisikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM,Dkt John Pombe Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni  katika kata ya Mishamo,wilayani Mpanda mkoani Katavi. 
  Sehemu ya Wananchi wa kata ya Mishamo,wakishangilia wakati Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwasili katika mkutano wa kampeni kwenye kata yaMishamo,wilayani Mpanda mkoani Katavi. 
 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwapungia wananchi alipokuwa akiwasili katika mkutano wa kampeni kwenye kata ya Mishamo,wilayani Mpanda mkoani Katavi.

   Sehemu ya umati wa Wananchi wa kata ya Mishamo,wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM,Dkt John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni,wilayani Mpanda mkoani Katavi. 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Kata ya Mishamo mapema leo mchana wakati wa mkutano wa kampeni  wilayani Mpanda mkoani Katavi. 
  Sehemu ya Wananchi wa kata ya Mishamo,wakishangilia wakati Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwasili katika mkutano wa kampeni kwenye kata yaMishamo,wilayani Mpanda mkoani Katavi. 
  Sehemu ya Wananchi wa kata ya Mishamo,wakishangilia wakati Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwasili katika mkutano wa kampeni kwenye kata yaMishamo,wilayani Mpanda mkoani Katavi. 
 Sehemu ya Wananchi wa kata ya Mishamo,wakisubiri kumsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM,Dkt John Pombe Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni  katika kata ya Mishamo,wilayani Mpanda mkoani Katavi.

MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DR. JOHN POMBE MAGUFULI AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM, AJITAMBULISHA KWA WANA DAR ES SALAAM

????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli pamoja na Mgombea Mwenza Mama Samia Suluhu wakishuka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere na kulakiwa na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali Mkoa wa Dar es salaam, Ambapo baadae Wagombea hao walitambulishwa kwenye mkutano mkubwa wa Hadhara katika viwanja vya Zakhem Mbagala jijini Dar es salaam.
Magufuli amekishukuru chama cha Mapinduzi na watanzania kwa kumuamini na kumpa nafasi ya kuipeperusha bendera ya CCM katika kinyang'anyiro cha Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Magufuli amesema hatawaangusha watanzania atashirikiana na watanzania wote ili kuleta maendeleo ya Tanzania kwa ujumla na akaongeza kwamba yeye siyo mkali ila anawachukia wala rushwa na wazembe kazini hivyo atawashughulia polepooole.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akikumbatiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es salaam Bw. Ramadhan Madabida huku Mgombea Mwenza Mama Samia Suluhu na Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Galawa wakishuka kwenye ndege
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akisalimiana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akisalimiana na Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhadi Mussa Salim.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhi ya viongozi wa dini.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jerry Silaa mjumbe wa Kamati Kuu na aliyekuwa Meya wa Ilala.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mh. Sophia Mjema Mkuu wa wilaya ya Temeke katikati ni Anjela Kiziga.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Raymond Mushi.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mh. Anjela Kairuki Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akivishwa skafu mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa J.K.Nyerere akitokea Dodoma kushoto ni Mama Samia Suluhu Mgombea Mweza na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es salaam Ramadhan Madabida.
????????????????????????????????????
Wananchi mbalimbali wakitaka kumsalimia Mgombea Dr. John Pombe Magufuli.????????????????????????????????????
Mbunge wa jimbo la Kinondoni Mh. Idd Azan kulia na Meneja Mahusiano wa TBL Doris Malulu wa pili kushoto wakiwa wameongozana na baadhi ya Ndugu na jamaa wa Dr. John Pombe Magufulia wakiingia kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere tayari kiwa kumlaki.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akisalimiana na wananchi mbalimbali huku ulinzi ukiwa umeimarishwa,
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi waliofika kumlaki uwanja wa Ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi waliofika kumlaki pamoja na Mgombea Mwenza mama Samia Suluhu kushoto kulia ni Ramadhan Madabida Mwenyekiti wa CCM Dar es salaam.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na viongozi mbalimbali wa CCM wakiwa katika jukwaa kuu kwenye mkutano uliofanyika viwanja vya Zakhem Mbagala.
????????????????????????????????????
Wabunge wa mkoa wa Dar es salaam wakitambulishwa kwenye mkutano huo.
????????????????????????????????????
Viongozi mbalimbali wakiwa katika meza kuu.
????????????????????????????????????
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye akizungumza katika mkutano wa hadhara wa kumtamulisha Dr. John Pombe Magufuli kwa wananchi baada ya kuteuliwa na CCM kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia chama hicho mkoani Dodoma.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kulia ni Mgombea wa Urais Kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli wakiwa katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Umati wa wananchi ukiwa umefurika kwenye uwanja wa Zakhem Mbagala.
????????????????????????????????????
Baadhi ya Ndugu na Jamaa wa Dr. John Pombe Magufuli wakiwa pamoja na wananchi wengine katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mgombea Mwenza Mama Samia Suluhu ili kuzungumza na wananchi na kujitambulisha kwao.
????????????????????????????????????
Mgombea mwenza wa urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mama Samia Suluhu akisalimia wananchi na kujitambulisha kwao.
????????????????????????????????????
Umati wa wananchi ukiwa umefurika katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akikaribishwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ili kuzungumza na wananchi na kujitambulisha kwao.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi na kujitambulisha kwao kwenye mkutano uliofanyika kwenye uwanja wa Zakhem Mbagala.
????????????????????????????????????
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akipiga ngoma za tumba pamoja na Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye kwenye jukwaa la bendi ya TOT mara baada ya kumaliza kujitambulisha na kuhutubia wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
????????????????????????????????????
Mitambo ya Azam TV kwa mbaali wanaendelea na kazi yao nzuri ya kurusha matangazo ya moja kwa moja.
????????????????????????????????????
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli akiondoka katika jukwaa mara baada ya kuzungumza na wananchi na kujitambulisha kwao.

MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS

 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.

Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma kadi yake ya kumpongeza kwa uteuzi baada ya kukabidhiwa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi  Salula (kushoto)  wakati wa mkutano maalum wa kuwashukuru wafanyakazi wenzake uliofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam. 
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula, wakati alipokuwa akipokelewa alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na wafanyakazi wa Ofisi ya makamu wa Rais, wakati alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na wafanyakazi wa Ofisi ya makamu wa Rais, wakati alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisalimiana na wafanyakazi wa Ofisi ya makamu wa Rais, wakati alipowasili Ofisini kwake kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza. Baada ya kuwasili Ofisini, Samia alikutana na wafanyakazi wenzake na kuwashuku kwa kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu hadi kufikia uteuzi huo.
  Baadhi ya wafanyakazi wakipiga picha ya kumbukumbu na Mhe. Waziri samia.
  Baadhi ya wafanyakazi wakipiga picha ya kumbukumbu na Mhe. Waziri samia.
  Baadhi ya wafanyakazi wakipiga picha ya kumbukumbu na Mhe. Waziri samia.
 Mkurugenzi Rasilimali watu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dush-ood Mdeme, akizungumza kabla ya kumkribisha Kaitibu Mkuu, kuzungumza na kumkaribisha Waziri Samia kuzungumza.
 Mkurugenzi Rasilimali watu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dush-ood Mdeme, akizungumza kabla ya kumkribisha Kaitibu Mkuu, kuzungumza na kumkaribisha Waziri Samia kuzungumza.
 Mkurugenzi Rasilimali watu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dush-ood Mdeme, akizungumza kabla ya kumkribisha Kaitibu Mkuu, kuzungumza na kumkaribisha Waziri Samia kuzungumza.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.
 Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akizungumza na Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati  wa mkutano maalum wa kuwaaga na kuwashukuru  wafanyakazi wenzake.  uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa mukutano wa Ofisi ya Makamu wa Rais, jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakiteta jambo kwa furaha wakati wa mkutano huo.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Waziri Samia, wakati akizungumza nao kuwashukuru, katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makamu wa Rais leo. 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Waziri Samia, wakati akizungumza nao kuwashukuru, katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makamu wa Rais leo. 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Waziri Samia, wakati akizungumza nao kuwashukuru, katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makamu wa Rais leo. 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Waziri Samia, wakati akizungumza nao kuwashukuru, katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makamu wa Rais leo. 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakimsikiliza Waziri Samia, wakati akizungumza nao kuwashukuru, katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makamu wa Rais leo. 
 Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula, akizungumza kabla ya kumkaribisha Wziri Samia, kuzungumza.
 Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula, akizungumza kabla ya kumkaribisha Wziri Samia, kuzungumza.
 Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais baada ya kuwasili Ofisimi hapo leo. 
 Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais baada ya kuwasili Ofisimi hapo leo. 
 Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Vitengo wa Ofisi ya Makamu wa Rais baada ya kuwasili Ofisimi hapo leo. 
 Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa NIMR
Waziri Samia, akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais baada ya kuwasili Ofisimi hapo leo.