Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe wakiwa wamebeba shada la maua tayari 
kuliweka katika kaburi la mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na 
Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, 
katika mazishi yaliyofanyika makaburi ya familia katika kijiji cha Ikolo
 wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo
 Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Mhe. Amos Makalla akiweka shada la maua katika kaburi la mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na 
Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, katika 
mazishi yaliyofanyika makaburi ya familia katika kijiji cha Ikolo
 wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo
 Waziri
 wa Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akiweka
 shada la maua katika kaburi la marehemu mkewe, Linah George Mwakyembe.
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe wakiweka shada la maua katika kaburi la mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na 
Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, 
katika mazishi yaliyofanyika makaburi ya familia katika kijiji cha Ikolo
 wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo
 Jeneza lenye mwili wa mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na 
Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe likiandaliwa kushushwa kaburini 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa ( kulia ), Mkuu wa mkoa Mbeya, Mhe. Amos Makalla na mke wa Waziri Mkuu wakifuatilia shughuli za mazishi ya mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na 
Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, katika kijiji cha Ikolo
 wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo. Picha zote na Haroub Kabwe
 Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Mhe. Amos Makalla akiweka shada la maua katika kaburi la mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na 
Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, katika 
mazishi yaliyofanyika makaburi ya familia katika kijiji cha Ikolo
 wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo
 Waziri
 wa Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akiweka
 shada la maua katika kaburi la marehemu mkewe, Linah George Mwakyembe.
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe wakiweka shada la maua katika kaburi la mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na 
Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, 
katika mazishi yaliyofanyika makaburi ya familia katika kijiji cha Ikolo
 wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo
 Jeneza lenye mwili wa mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na 
Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe likiandaliwa kushushwa kaburini 
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa ( kulia ), Mkuu wa mkoa Mbeya, Mhe. Amos Makalla na mke wa Waziri Mkuu wakifuatilia shughuli za mazishi ya mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na 
Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, marehemu Linah George Mwakyembe, katika kijiji cha Ikolo
 wilayani Kyela mkoani Mbeya hii leo. Picha zote na Haroub Kabwe

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni