RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA WAFANYAKAZI KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MEI MOSI MKOANI DODOMA

GU1 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia mamia ya Wafanyakazi katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zulizofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
GU2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameshikana mikono na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi TUCTA wakati wakiimba wimbo wa Mshikamano Daima katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma .
GU3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi kombe la ushindi wa jumla kwa Rais wa TUCTA Gratian Mukoba katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
GU4
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Cheti cha Mfanyakazi bora kutoka Ofisi ya Rais Ikulu Ndugu Peter Chisunga katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
GU5
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia namna ya uokozi katika majanga mabalimbali yanayotokea Migodini nje ya uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
GU7
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiifurahi picha yake ya kuchora alipokabidhiwa wakati anakagua mabanda ya Maonesho katika katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniania zilizofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma.
GU8
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza maelezo kutoka kwenye banda la mamlaka ya udhibiti wa mifuko ya hifadhi ya jamii SSRA mjini Dodoma .
GU9
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza maelezo kutoka kwenye banda la Wakala wa Afya na Usalama mahala pa kazi OSHA mkoani Dodoma
GU10
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi wa Tanzania TUCTA Ndugu Nicholas Mgaya mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Jamhuri Mkoani Dodoma
GU11
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa TUCTA Gratian Mukoba wakati alipowasili katika katika viwanja vya Jamhuri Mkoani Dodoma.
GU12
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wazee wa mkoa wa Dodoma mara baada ya kuhutubia katika kilele cha Maadhimisho hayo ya siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika Kitaifa Mkoani Dodoma.
GU13
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono kuagana na mamia ya wafanyakazi katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
GU14
Sehemu ndogo ikionesha wafanyakazi waliojitokeza katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma katika kilele cha sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika Kitaifa Mkoani Dodoma. PICHA NA IKULU

MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO ATUNUKU VYETI KWA WASHIRIKI WA KAMPENI YA SIKU 10 YA USAFI KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO (KINAPA)

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Mecky Sadicky akitoa vyeti kwa wawakilishi wa Kampuni mbalimbali zilizosaidia katika kampeni ya siku 10 ya kufanya usafi katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA),Zoezi la
utoaji Vyeti limefanyika katika lango la Marangu wakati wa hafla fupi ya
kuwapokea washiriki wa zoezi hilo la usafi.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Mecky Sadicky akizungumza na washiriki wa kampeni ya siku 10 ya kufanya usafi katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima
Kilimanjaro (KINAPA) muda mfupi mara baada ya kurejea.
Mkuu wa Wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akizungumza katika Hafla hiyo.
Katibu Tawala mpya wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Mhandisi Aisha Amour akifuatilia shughuli hiyo ya kutunuku vyeti ilivyokuwa ikiendelea .
Washiriki wa zoezi la usafi katika Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Said Mecky Sadick huku wakionesha vyeti walivyotunukiwa baada ya kufanikisha zoezi hilo.
Baadhi ya Washiriki wa Kampeni ya siku 10 ya kufanya usafi katika Hifadhi ya
Taifa ya Mlima Kilimanjaro wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa
Kilimanjaro Said Mecky Sadicky alipokuwa mgeni rasmi katika Hafla ya
kutunuku vyeti kwa washiriki pamoja na wamiliki wa kampuni.

                                                                               Baadhi ya Washiriki wa zoezi hilo.
Mkuu wa Wilaya ya Siha ,Dkt Charles Mlingwa akizungumza katika hafla hiyo
baada ya kukaribishwa huku akiwasilisha ombi la zoezi kama hilo la usafi
lielekezwe katika lango la kupandia mlima la Londros lilopo wilayani
Siha.
Baadhi ya Washiriki wa zoezi hilo ambao wanajulikana kama Wagumu.
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa nchini (TANAPA) Mtango
Mtahiko akizungumza juu ya mafanikio ya kampeni ya siku 10 ya usafi
katika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro.
Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA),Betrita Loibook akizungumza katika hafla hiyo.
Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA)Betrita Loibook akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Siha,Dkt Charles Mlingwa.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro akiliongoza kundi la watu waliopanda Mlima
Kilimanjaro kwa ajili ya kufanya usafi muda mfupi baada ya kurejea
kutoka katika kilele cha mlima huo.
                                                                               Baadhi ya washiriki wa zoezi hilo.
                                                                                Washiriki wakifurahia vyeti.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Said Mecky Sadicky akizungumza jambo na
Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) Betrita
Loibook.    Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

MBUNGE WA JIMBO LA VUNJO ATEMBELEA BARABARA YA KILEMA NA KUJIONEA ILIVYO HARIBIKA VIBAYA KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA.

Mbunge wa Jimbo la Vunjo ,James Mbatia akitizama barabara ya kuelekea Hospitali ya wilaya ,Kilema Hospital namna ambavyo imeharibika kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha.
Wanafunzi katika shule iliyo jirani na barabara hiyo wakitizama sehemu ya korongo lililopo katika barabara hiyo ambayo ni tegemeo kwa Chuo cha Ualimu Mandaka,Seminari ya Mtakatifu James ,shle za sekondari pamoja na msingi.
Baaadhi ya madreva wa pikipiki maarufu kama bodaboda wakipita katika barabara hiyo ambapo kwa sasa nauli ya kupandisha abiria kwenda Hospitali ya wilaya ya Moshi,Kilima imepanda kutoka kiasi cha sh 3000 hadi 6000 .
Moja ya Magari yanayotumia barabara hiyo likijaribu kupita katika barabar hiyo ambayo imeharibika vibaya kutokana na maji yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.
Sehemu ya barabara hiyo likionekana korongo ambalo limeanza kumegwa na maji na kuhatarisha kukatika kwa mawasiliano katika baina ya vijiji 12 ambavyo wakazi wake wanatumia barabara hiyo.

                               Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

NSSF ILIVYOSHIRIKI MEI MOSI KITAIFA MKOANI DODOMA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF), Prof. Godius Kahyarara (katikati waliokaa), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori (kulia) na Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa NSSF nje ya Ofisi ya Mkoa wa Dodoma wakati wa shereheza Sikukuu za Mei Mosi zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF), Prof. Godius Kahyarara (kulia), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF,
Crescentius Magori na Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume na Meneja wa NSSF Mkoa wa Dodoma, Rehema Chuma wakati wa sherehe za Sikukuu za Mei Mosi zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoaniDodoma.
Rais John Magufuli (wa pili kushoto) akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kulia), Rais wa Shirikisho la vyama vya WafanyakaziTanzania (TUCTA), Gratian Mukoba (wa pili kulia) na Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu Jenista Mhagama wakati wa kilele cha sherehe za Sikukuu za MeiMosi zilizofanyika kitaifa mkoani Dodoma
Wafanyazi wa NSSF wakiwa na bango lao.
Wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakipita kwa maandamano mbele ya mgeni rasmi Rais John Magufuli (hayupo pichani), katika kilele cha Sherehe za Mei Mosi zilizofanyika kitaifa mkoaniDodoma.

Wafanyakazi wa NSSF wakiwa katika Mei Mosi.
Maandamano ya wafanyakazi wa NSSF yakipita mbele ya mgeni rasmi Rais John Magufuli (hayupo pichani) katika sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi.
Wafanyakazi wakiwa katika maandamano.
Wafanyakazi wa NSSF wakiingia kwa maandamano.
wafanyakazi wakiwa katika sherehe za sikukuu ya Mei Mosi.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya
Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara (kulia), Meneja wa NSSF Mkoa wa Dodoma, Rehema Chuma, Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa NSSF,Eunice Chiume na Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori wakitoka baada ya kumalizika kwa shereheza Sikukuu ya Mei Mosi iliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

NSSF YADHAMINI NANI ZAIDI KATI YA MSONDO NA SIKINDE

Ofisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Salim Kimaro, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mpambano wa nani zaidi kati ya Msondo na Sikinde uliofanyika kwenye viwanja vya TCC Chang'ombe jijini Dar esSalaam, mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na NSSF. (Na Mpiga Picha Wetu)
Ofisa Mwandamizi Masokona Uhusiano NSSF, Amina Mbaga, (kushoto) akimkabidhi fulana, Jumanne Mnola alipotembelea banda la NSSF wakati wa mpambano wa nani zaidi kati ya Msondo na Sikinde kudhaminiwa na NSSF.
Ofisa Mwandamizi Masoko na Uhusiano NSSF, Amina Mbaga, (kushoto), akimkabidhi fulana mmoja wa wateja wao, Said Ally, alipotembelea banda lao.
Ofisa Mwandamizi Masokona Uhusiano (Nssf), Amina Mbaga akigawa vipeperushi kwa baadhi yawananchi waliotembelea banda lao.
Ofisa Uhusiano wa NSSF, Faides Mdee, akigawa vipeperushikwa baadhi ya wananchi waliotembelea banda lao katika tamasha la muziki ambapo bendi za Msondo na Sikinde zilichuana.

Wafanyakazi wa NSSF wakimkabidhi fulana mteja wao, Antela Salumu (katikati).
Ofisa waNSSF, Innocent Shao, (kulia) akiwaandikisha baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na NSSF.
Ofisa uandikishaji NSSF, Amina Kisawaga (kulia) akitoa maelezo kwa mteja alietembeleabanda lao Fumbwe Juma.
Picha ya pamoja.

EAC BUREAU OF SPEAKERS HOLDS 11TH MEETING

 The Speaker of Kenya National Assembly,Rt.Hon Justin Muturi,(left) EALA Speaker, Rt.Hon Daniel Kidega (centre) and Speaker Parliament of Tanzania, Rt.Hon Job Ndugai having chats after the group photo
The Bureau of EAC Speakers during the Session
Bureau of EAC Speakers (front) pose with the Clerks of the National Legislatures on the sidelines of the forum 

EAC Speakers are optimistic that the operationalization of the East African Parliamentary Institute (EAPI) shall go the mile in building capacities for legislators, Parliamentary staff and other stakeholders in Parliamentary practice and contribute to widening and deepening integration.

The operationalization is expected in the next Financial Year once the EAPI Act, 2011, is gazetted by the EAC Council of Ministers. In addition, the EAC Bureau of Speakers considered a number of key areas deemed to strengthen integration as they held a one day Forum in Arusha, on April 29th, 2016.

In the regard, National legislatures and EALA are to commence on the process of budgeting within the Financial Year 2016/17 with the anticipated launch of the EAPI now in high gear. Under the EAPI Act, 2011, the EAC Speakers form the Board of Trustees and they are expected to act conclusively on where the Institute shall be hosted and advise the Council of Ministers on the same.

At the Bureau meeting, EALA Speaker, Rt. Hon Daniel Fred Kidega also took over the Chair from the Speaker of the Parliament of Tanzania, Rt. Hon Job Ndugai. The chair which is rotational is held by the Speaker for a year.

Speaker of the Kenya National Assembly, Rt Hon Justin Muturi and Speaker of the Senate, Rt Hon Ekwee Ethuro as well as the President (Speaker) of the Burundi Senate, Rt Hon Reverien Ndikuriyo attended the Forum. Parliament of Rwanda was represented by the Deputy Speaker, Hon Jean d’Arc Uwamaninpaye while the 2nd Deputy Speaker of the Burundi National Assembly, Hon Nduwimana Edouard represented the Speaker, Rt Hon Pascal Nyabenda. The Bureau received the apologies of the Speaker of Parliament of Uganda, Rt. Hon Rebecca Kadaga.

The Bureau of EAC Speakers further amended the Rules of Procedures governing the Forum. With it, the Speakers amended Clause 1.1 of the Rules to include the Speakers and Presidents of the Senate as members of the Forum. In addition, they revised clause 1.2 on definitions deleting the terms “National Assemblies/Parliaments” and substitute thereof with the words “National Legislature however designated” wherever they appear in the Rules.

The meeting also underscored the need of enhancing the functional relations between the National Legislatures and EALA. The National Legislatures have continued to play their oversight role on matters on EAC Affairs in their respective jurisdictions including the need to expedite amendments to the EAC Treaty.



It was agreed thus EALA submits the proposed amendments to the Treaty that it submitted to the EAC Council of Ministers with the National Legislatures. In addition, a workshop of the network of senior Parliamentary Officers is anticipated in the later half of the year.

In his remarks, the Speaker of EALA, Rt. Hon Daniel Fred Kidega reiterated the Bureau’s enormous contribution in strengthening the role of EAC Parliaments in the integration process in line with Article 49 (2) and 65 of the Treaty for the Establishment of the EAC. He extended his appreciation to all Speakers of all the National Legislatures for the support extended to EALA during the Plenary Sittings in the respective Parliaments.

He noted that Parliamentary elections have by and large been democratic, contributing to the consolidation of democracy in EAC.

“I note that in 2015, new Members were elected to the Parliaments of Burundi and Tanzania and in year 2016, citizens of Uganda elected their representatives to the Parliament of Uganda. In the coming year, the Bureau expects citizens of the Republic of Kenya and the Republic of Rwanda to go through the same democratic process of giving their representatives fresh mandate”, Rt Hon Kidega said.



He informed the Bureau of Speakers that EALA had passed the EAC Elections Act, 2012, which envisages formation of the EAC Elections Board whose functions inter alia include: developing, setting standards and advising Partner States on best electoral practices. The Board’s mandate is to harmonise electoral standards to be adhered to by the National Electoral Commissions, noting that this is a fundamental contribution by EALA towards strengthening electoral processes in the region as a way to consolidating democracy.

Rt Hon Justin Muturi, Speaker of the Kenya National Assembly said it was vital for Partner States to move towards the alignment of national political activities and trends with regional integration objectives, deepen integration and rapid socio-economic transformation so as to prepare for and ultimately sustain the Political Federation. The Speaker presented an interesting paper on the “Role of the Speaker in maintaining discipline and decorum in the House”.

Speaker of the Senate of Kenya, Rt. Hon Ekwee Ethuro on his part, reiterated need for the African region to address critical issues with regards to elections and their aftermath.

Rt Hon Ethuro who is also one of the six Vice Presidents of the Geneva-based Inter-Parliamentary Union (IPU) highlighted that as Kenya was preparing for elections in 2017, it needs to be cognizant of the fact that many crises in the region surround elections.

“Violent acts are becoming instruments of insecurity and therefore, we must confront the challenges being faced by the region. There is need for the region to act as “brothers and sisters” keepers and to help to find lasting solutions”, Rt Hon Ethuro said. The Senate of Kenya Speaker further appealed to the Bureau of Speakers to assist Burundi to foster peace and reconciliation in every possible way.

Speaker of the Parliament of Tanzania, Rt. Hon Job Ndugai remarked the United Republic of Tanzania was making great strides in its role as an active Member of EAC and EALA and observed that President of the United Republic of Tanzania, H. E. John Magufuli and his Rwanda counterpart, H.E. Paul Kagame, had inaugurated a One Stop Border Post (OSBP) on the 6th April, 2016, which is an important milestone towards facilitating Regional Trade and deepening EAC integration.

President of the Senate of Burundi, Rt. Hon Reverien Ndikuriyo, highlighted concerns orchestrated by international media emanating from a move to reject the candidature of President Pierre Nkurunziza for a third term by the opposition and the civil society were merely perceptions. He said such perceptions had culminated into violence and termed such reports as hype and part of an international conspiracy to destabilize Burundi.

On terrorism, Rt Hon. Ndikuriyo noted with concern the damage and pain inflicted by the atrocious acts to the globe. He asserted Burundi’s position that there were no ‘good’ or ‘bad’ terrorists, and that all such groupings have to be fought ferociously. He thus challenged his EAC counterparts to stand together in solidarity to protect the destiny of the Community.

Deputy Speaker of the Burundi National Assembly, Hon Edouard Nduwimana noted that Burundi is facing financial challenges due to economic sanctions imposed by the European Union. He appealed to the EAC Partner States to beseech for the lifting of all sanctions. Hon Nduwimana further affirmed that Burundi was ready to put in place all pieces of legislation required for the success of the EAC integration and to promote Inter-Parliamentary co-operation.

Deputy Speaker of the Parliament of Rwanda, Hon Uwamaninmpaye Jean d’Arc commended the Bureau of Speakers for creating an opportunity for the Parliament to assess the achievements made, share experiences and challenges facing Speakers in their duty.

She noted that Rwanda had made tremendous progress since it joined the EAC in 2007 and the country was already reaping from the benefits of been part of the bloc. She informed the meeting that Rwanda had embarked on a policy to facilitate free movement of people, goods and services by removing all barriers that hindered trade within the region.

The one-day meeting was preceded by a two-day meeting of Clerks which, among other things, reviewed the mandate of the Bureau, discussed modalities of operationalisation of the East African Parliamentary Institute and reviewed several emerging challenges in legislature in the region.

The Bureau of the EAC Speakers is the umbrella body that EALA and the National Assemblies utilise to champion the cause of Parliaments in the region, that of enacting legislation, oversight and representation and plays a key advisory role to the Summit of the EAC Heads of State.