Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akiwahutubia mamia ya Wafanyakazi katika kilele cha Maadhimisho ya 
Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zulizofanyika Kitaifa katika 
Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
ameshikana mikono na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi 
TUCTA wakati wakiimba wimbo wa Mshikamano Daima katika kilele cha 
Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika 
Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma .
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi
 kombe la ushindi wa jumla kwa Rais wa TUCTA Gratian Mukoba katika 
kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani 
zilizofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi
 Cheti cha Mfanyakazi bora kutoka Ofisi ya Rais Ikulu Ndugu Peter 
Chisunga katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi
  Duniani zilizofanyika  Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia 
namna ya uokozi katika majanga mabalimbali yanayotokea Migodini nje ya 
uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiifurahi 
picha yake ya kuchora alipokabidhiwa wakati anakagua mabanda ya Maonesho
 katika katika kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Siku ya Wafanyakazi 
Duniania zilizofanyika    Kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani 
Dodoma.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza
 maelezo kutoka kwenye banda la mamlaka ya udhibiti wa mifuko ya hifadhi
 ya jamii SSRA mjini Dodoma .
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza
 maelezo kutoka kwenye banda la Wakala wa Afya na Usalama mahala pa kazi
 OSHA mkoani Dodoma
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi wa Tanzania 
TUCTA Ndugu Nicholas Mgaya mara baada ya kuwasili katika viwanja vya 
Jamhuri Mkoani Dodoma
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na Rais wa TUCTA Gratian Mukoba wakati alipowasili katika 
katika viwanja vya Jamhuri Mkoani Dodoma.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
 wazee wa mkoa wa Dodoma mara baada ya kuhutubia katika kilele cha 
Maadhimisho hayo ya siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika Kitaifa 
Mkoani Dodoma.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipunga 
mkono kuagana na mamia ya wafanyakazi katika uwanja wa Jamhuri mkoani 
Dodoma.
Sehemu
 ndogo ikionesha wafanyakazi waliojitokeza katika Uwanja wa Jamhuri 
mkoani Dodoma katika kilele cha sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani 
zilizofanyika Kitaifa Mkoani Dodoma. PICHA NA IKULU
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni