Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza 
kikao cha Baraza la Mawaziri tarehe 03 Mei, 2016 katika ukumbi wa 
TAMISEMI mjini Dodoma. 
 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia 
jambo na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Serikali 
ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein mara baada ya kutoka 
kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri tarehe 03 Mei, 2016 katika ukumbi wa
 TAMISEMI mjini Dodoma.  
PICHA NA IKULU
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni