BINTI WA ASKOFU TUTU AVULIWA UCHUNGAJI KWA NDOA YA JINSIA MOJA

Binti wa Akofu Mstaafu Desmond Tutu, amelazimika kuachia madaraka ya uchungaji wa Kanisa la Anglikana la Afrika Kusini baada ya kumuoa mwanamke mwenzake.

Mchungaji Canon Mpho Tutu-van Furth hawezi kupokea mkate wa bwana na hatoruhusiwa kufungasha ndoa, kubatiza ama kuzika, na amerejesha kanisani leseni ya uchungaji.

Mchungaji huyo Canon Mpho Tutu-van Furth amesema baba yake Askofu Mstaafu Tutu na amechukizwa na kitendo chake lakini hakushangazwa na ndoa hiyo.
                 Canon Mpho Tutu-van Furth akiwa na baba yake Askofu Mstaafu Tutu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni