Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed 
Shein   akimuapisha Mhe,Ayoub Mohammed Mahmoud   kuwa   Mkuu wa Mkoa wa 
Mjini  Magharibi Unguja,kabla alikuwa Mkuu wa Wilaya Magharibi A, hafla 
iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,
 Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed 
Shein   akimuapisha Mhe,Vuai Mwinyi Mohammed   kuwa   Mkuu wa Mkoa wa 
Kaskazini Unguja,kabla alikuwa Mkuu wa Wilaya Kati, hafla iliyofanyika 
leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja, 
 Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed 
Shein   akimuapisha Mhe,Marina Joel Thomas   kuwa   Mkuu wa Wilaya ya 
Mjini   Unguja, hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini 
Unguja,
 Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed 
Shein  akimuapisha Mhe,Silima Haji Haji  kuwa   Mkuu wa Wilaya ya 
Magharibi “B” Unguja, hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu 
Mjini Unguja.
 Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed 
Shein  akimuapisha Mhe,Hassan Ali Kombo  kuwa   Mkuu wa Wilaya ya 
Kaskazini  “A” Unguja, hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu 
Mjini Unguja
 Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed 
Shein  akimuapisha Mhe,Issa Juma Ali   kuwa   Mkuu wa Wilaya ya 
Kaskazini “B” Unguja, hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu 
Mjini Unguja.
 Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed 
Shein  akimuapisha Mhe,Mashavu Sukwa Said kuwa   Mkuu wa Wilaya ya Kati 
Unguja, hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.
 Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed 
Shein  akimuapisha Mhe,Idrissa Kitwana Mustafa  kuwa   Mkuu wa Wilaya ya
 Kusini  Unguja, hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini 
Unguja,
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed 
Shein  akimuapisha Mhe,Salama Mbarouk Khatib  kuwa   Mkuu wa Wilaya ya 
Chakechake Pemba, hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini 
Unguja,
[Picha zote na Ikulu.]









Hakuna maoni:
Chapisha Maoni