Mkurugenzi
 wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao( wa tatu toka kushoto) pamoja na 
wafanyakazi wenzake wakifurahia moja ya nyimbo za mwanamuziki Nasib 
Abdul”Diamaond Platinum’s” alipokuwa akitumbuiza wakati wa hafla ya 
kuwatunuku zawadi wafanyakazi bora wa kampuni hiyo mwishoni mwa wiki 
jijini Dar es Salaam.
Baadhi
 ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania ,wakicheza nyimbo mbalimbali 
zilizokuwa zikiimbwa na mwanamuziki mahiri wa mziki wa kizazi kipya, 
Nasib Abdul”Diamaond Platinum’s”(hayupo pichani) wakati wa hafla ya 
kuwatunuku zawadi mbalimbali wafanyakazi bora wa kampuni hiyo mwishoni 
mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Msanii
 mahiri wa Mziki wa kizazi kipya,Nasibu Abdul 'Diamond Platinum’s ' 
akitumbuza vilivyo wakati wa hafla ya kuwatunuku zawadi wafanyakazi bora
 wa Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Baadhi
 ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakicheza na Mwanamuziki anayetamba 
katika medani ya muziki wa kitaifa na Kimataifa ,Nasibu Abdul 'Diamond 
Platinum’s ', wakati wa hafla ya kuwatunuku zawadi wafanyakazi bora wa 
kampuni hiyo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Mwanamuziki
 anayetamba katika medani ya muziki wa kitaifa na Kimataifa ,Nasibu 
Abdul 'Diamond Platinum’s ', akiwapagawaisha wafanyakazi wa Vodacom 
Tanzania , wakati wa hafla ya kuwatunuku zawadi mbalimbali wafanyakazi 
bora wa kampuni ya Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki jijini Dar es 
Salaam.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni