Mkurugenzi
 Mtendaji wa Benki ya NMB, Bi. Ineke Bussemaker (kulia) akipeana mkono 
na Meneja Miradi na Maendeleo ya Biashara kutoka Soko la Hisa Tanzania, 
Patrick Mususa mara baada ya benki hiyo kuzinduwa hati fungani 
zinazoanza kuuzwa kwa Watanzania wanaoitaji kuwekeza katika mtaji wa 
benki ya NMB.
 Mkurugenzi
 Mtendaji wa Benki ya NMB, Bi. Ineke Bussemaker (kulia) akipeana mkono 
na Meneja Miradi na Maendeleo ya Biashara kutoka Soko la Hisa Tanzania, 
Patrick Mususa mara baada ya benki hiyo kuzinduwa hati fungani 
zinazoanza kuuzwa kwa Watanzania wanaoitaji kuwekeza katika mtaji wa 
benki ya NMB.
 Mkurugenzi
 Mtendaji wa Benki ya NMB, Bi. Ineke Bussemaker (katikati) akizungumza 
na wanahabari hawapo pichani katika hafla ya uzinduzi uuzaji wa hati 
fungani zitakazouzwa kwa Watanzania wanaoitaji kuwekeza katika mtaji wa 
benki ya NMB. Kushoto ni Ofisa Mkuu Kitengo cha Fedha wa NMB, Waziri 
Barnabas na Meneja Miradi na Maendeleo ya Biashara kutoka Soko la Hisa 
Tanzania, Patrick Mususa (kulia).
 Mkurugenzi
 Mtendaji wa Benki ya NMB, Bi. Ineke Bussemaker (kulia) akizungumza 
jambo na Ofisa Mkuu Kitengo cha Fedha wa NMB, Waziri Barnabas (kushoto),
 katika hafla ya uzinduzi uuzaji wa hati fungani zitakazouzwa kwa 
Watanzania wanaoitaji kuwekeza katika mtaji wa benki ya NMB.
 Ofisa
 Mkuu Kitengo cha Fedha wa NMB, Waziri Barnabas (kushoto) akifafanua 
jambo kwa wanahabari (hawapo pichani) wakati benki hiyo ilipozinduwa 
hati fungani zinazoanza kuuzwa kwa Watanzania wanaoitaji kuwekeza katika
 mtaji wa benki ya NMB. Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB,
 Bi. Ineke Bussemaker (kulia) akiwa na Meneja Miradi na Maendeleo ya 
Biashara kutoka Soko la Hisa Tanzania, Patrick Mususa (kulia).
 Mkurugenzi
 Mtendaji wa Benki ya NMB, Bi. Ineke Bussemaker (kulia) akiwa katika 
picha ya pamoja na Meneja Miradi na Maendeleo ya Biashara kutoka Soko la
 Hisa Tanzania, Patrick Mususa (kushoto) mara baada ya benki hiyo 
kuzinduwa hati fungani zinazoanza kuuzwa kwa Watanzania wanaoitaji 
kuwekeza katika mtaji wa benki ya NMB. Kushoto ni Ofisa Mkuu Kitengo cha
 Fedha wa NMB, Waziri Barnabas akishuhudia.
 Mkurugenzi
 Mtendaji wa Benki ya NMB, Bi. Ineke Bussemaker (kushoto) akizungumza na
 wanahabari hawapo pichani katika hafla ya uzinduzi uuzaji wa hati 
fungani zitakazouzwa kwa Watanzania wanaoitaji kuwekeza katika mtaji wa 
benki ya NMB. Kulia ni Meneja Miradi na Maendeleo ya Biashara kutoka 
Soko la Hisa Tanzania, Patrick Mususa akifuatilia tukio hilo.
 Meneja
 Miradi na Maendeleo ya Biashara kutoka Soko la Hisa Tanzania, Patrick 
Mususa (kulia) akizungumza na wanahabari kufafanua hali ya hisa nchini 
na kuipongeza NMB kwa hatua ya kuwashirikisha wananchi kwenye uwekezaji.
 Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Bi. Ineke 
Bussemaker.[/caption]   BENKI ya NMB imetoa ofa ya hati fungani kwa 
wananchi wanaotaka kuwekeza kwa muda wa miaka mitatu katika mtaji wa 
benki hiyo, huku wakijipatia faida ya asilimia 13 ya fedha waliyowekeza 
kwa kila miezi sita. Ofa hiyo imefunguliwa leo jijini Dar es Salaam na 
Mkurugenzi Mtendaji wa NMB, Bi. Ineke Bussemaker. Alisema NMB itauza 
hati fungani ya thamani ya shilingi bilioni 20 ikiwa ni njia ya 
kuwashirikisha wananchi kuwekeza fedha zao na kujipatia faida. 
Akifafanua zaidi, Ofisa Mkuu Kitengo cha Fedha wa NMB, Waziri Barnabas 
alisema ofa ya chini kwa kila anayetaka nunua hati fungani hizo ni 
kuanzia shilingi 500,000 na kuendelea kulingana na uwezo wa mtu kwa 
kiasi atakachoitaji kukiweka katika mtaji wa NMB..
 Mkurugenzi
 Mtendaji wa Benki ya NMB, Bi. Ineke Bussemaker (kushoto) akizungumza na
 wanahabari katika hafla ya uzinduzi uuzaji wa hati fungani zitakazouzwa
 kwa Watanzania wanaoitaji kuwekeza katika mtaji wa benki ya NMB.
 Baadhi
 ya maofisa na wafanyakazi wa Benki ya NMB pamoja na wanahabari 
wakifuatilia hafla ya uzinduzi uuzaji wa hati fungani zitakazouzwa kwa 
Watanzania wanaoitaji kuwekeza katika mtaji wa benki ya NMB.[/caption]  
 Alisema wawekezaji hao wataanza kupata gawio lao la asilimia 13 kwa 
kiasi ulichowekeza baada ya miezi sita na litaendelea kutolewa kila 
baada ya miezi sita kwa kipindi cha miaka mitatu. Aliongeza kuwa baada 
ya kutimia miaka mitatu mwekezaji atalipwa fedha yake pamoja na asilimia
 13 ya kiasi alichowekeza. Hati fungani hizo zitaanza kuuzwa kwa 
wananchi kuanzia Mai 10 hadi Juni 8, 2016 ambapo ofa itafungwa na 
utaratibu wa kupangwa kwa hati hizo kuanza. Wananchi wametakiwa 
kujitokeza kwa wingi kuwekeza fedha zao hasa wale wanaohifadhi fedha 
bila kuzizalisha kwani wataziongezea thamani.
 Mmiliki
 wa Blogu ya Father Kidevu, Mroki Mroki (kulia) akifurahia jambo na 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Bi. Ineke Bussemaker (kushoto) mara
 baada ya hafla ya uzinduzi uuzaji wa hati fungani zitakazouzwa kwa 
Watanzania wanaoitaji kuwekeza katika mtaji wa benki ya NMB.
 Baadhi
 ya maofisa na wafanyakazi wa Benki ya NMB pamoja na wanahabari 
wakifuatilia hafla ya uzinduzi uuzaji wa hati fungani zitakazouzwa kwa 
Watanzania wanaoitaji kuwekeza katika mtaji wa benki ya NMB.
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni