Mwenyekiti
 wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha Kikao 
cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa kilichofanyika Mkoani Dodoma.
 Kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli na kushoto ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. 
Ali Mohamed Shein
 Mwenyekiti
 wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais 
wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein wakifurahia 
jambo kabla ya kuanza kwa kikao cha cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya
 Taifa kilichofanyika Mkoani Dodoma.
 Mwenyekiti
 wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na  Rais wa
 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati 
alipowasili mkoani Dodoma kwa ajili ya kikao hicho cha Kamati Kuu ya 
Halmashauri kuu ya Taifa.
 Mwenyekiti
 wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakielekea 
kwenye kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa kilichofanyika 
Mkoani Dodoma. PICHA NA IKULU 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni