Waziri
 wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk Khalid Salum Mohammed akionesha Mkoba 
Wenye Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar alipowasili katika 
viwanja vya Baraza la Wawakilishi kwa ajili ya kusoma Bajeti ya Serikali
 ya Mwaka wa Fedha 2016/2017. kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi 
Zanzibar.
Waziri
 wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe Dk Khalid Salum Mohammed akiwasilisha 
Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa mwaka wa Fedha 2016/2017 
kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.


Spika
 wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid akiwa  katika 
Ukumbi wa Mkutano wakati ikiwasilishwa Bajeti ya Serikali na Waziri wa 
Fedha na Mipango wa Zanzibar Dk Khalid Salum Mohammed. kwa Wajumbe wa 
Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Spika
 wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid akiingia katika
 Ukumbi wa Mkutano wa Baraza la Wawakilishi akiongozwa na Askari wa 
Baraza.kwa ajili ya kuaza kwa Mkutano wa Bajeti. 
Spika
 akingia katika ukumbi wa Mkutano jioni leo kwa ajili ya kuwasilishwa 
Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. na Waziri wa Fedha na Mipango 
wa Zanzibar.
Waziri
 wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk Khalid Salum Mohammed akiongozwa na 
Askari wa Baraza kuingia katika Ukumbi wa Mkutano kuwasilisha Bajeti ya 
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni