Naibu
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Angeline 
Mabula akifungua rasmi mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Shirika la 
Nyumba la Taifa NHC uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye makao makuu ya 
shirika hilo Upanga jijini Dar es salaam ambapo alilipongeza shirika 
hilo kwa kazi nzuri ambayo wafanyakazi wake wanaifanya kwani ndiyo 
shirika pekee la Serikali linaloendeshwa kwa ufanisi mkubwa na kuiletea 
heshima serikali, Waziri Mabula amewaambia wafanyakazi wa shirika hilo 
pamoja na Menejimenti yake kuendelea na kazi nzuri ambayo wamekuwa 
wakiifanya ili kuleta maendeleo zaidi nchini katika sekta ya nyumba. 
PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Angeline Mabula akifungua mkutano
 wa baraza la wafanyakazi katika mkutano uliofanyika mwishoni mwa wiki 
katikia makao makuu ya shirika hilo Apanga kulia ni Mkurugenzi wa 
Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu na kushoto ni Adolf Kasegenya Katibu wa
 Baraza la Wafanyakazi TAMICO NHC. 
Naibu
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Angeline 
Mabula Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu kulia na
 Adolf Kasegenya Katibu wa Baraza la Wafanyakazi TAMICO NHC kushoto 
wakiimba wimbo wa wafanyakazi kabla ya kuanza kwa mkutano huo. 
Naibu
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Angeline 
Mabula na Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu wakifurahia 
jambo wakati wa mkutano huo. 
Naibu
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Angeline 
Mabula akipitia nyaraka huku Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia 
Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa shirika hilo kabla ya kumkaribisha
 ili kufungua rasmi mkutano huo. 
 Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu akizunguma na wafanyakazi wa shirika hilo kabla ya Waziri Angelina Mabula kuufungua rasmi. 
 Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu akisisitiza jambo wakai akizunguma na wafanyakazi wa shirika hilo kabla ya Naibu Waziri Angelina Mabula kuufungua rasmi. 
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba wakifuatilia mkutano huo. 
Wafanyakazi wa shirika la Nyumba wakiimba wimbo wa wafanyakazi kabla ya kufunguliwa kwa mkutano huo. 
Wafanyakazi wa shirika la Nyumba wakiwa katika mkutano huo. 
 Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu na
 Naibu Waziri Angelina Mabula wakiwa katika picha ya pamoja na 
wafanyakazi wa shirika hilo baada ya kuufungua rasmi mkutano huo. 
 Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu na
 Naibu Waziri Angelina Mabula wakiwa katika picha ya pamoja na 
wafanyakazi wa shirika hilo baada ya kuufungua rasmi mkutano huo. 
Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu na
 Naibu Waziri Angelina Mabula wakiwa katika picha ya pamoja na 
wafanyakazi wa shirika hilo baada ya kuufungua rasmi mkutano huo.
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni