Shirika 
la  Taifa la  Hifadhi ya Jamii (NSSF) yazidi kutoa elimu juu ya hifahdi 
ya jamii kwa wananchi mbalimbali ikiwa ni  mpango maalamu wa kuwafikia 
wanachama  wengi zaidi.
 
Katika mkoa wa Arusha NSSF imetoa elimu kwa wafanyabiashara wadogo wadogo katika soko la Kilombero. Zoezi hilo litaendelea kesho tarehe 19/05 katika eneo la soko la Kilombero.
Katika mkoa wa Arusha NSSF imetoa elimu kwa wafanyabiashara wadogo wadogo katika soko la Kilombero. Zoezi hilo litaendelea kesho tarehe 19/05 katika eneo la soko la Kilombero.
Afisa 
Masoko na Uhusiano  wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), 
Amani Marcel (kushoto), akimkabidhi mwanachama mpya fulana wakati wa 
Kampeni maalumu ya kuwafikia wanachama wengi zaidi iliyofanyika katika 
Soko la Kilombero Jijini Arusha. 
Wananchi 
wakiwa katika foleni ya kujiandikisha uanchama wa NSSF wakati wa Kampeni
 maalumu ya kuwafikia wanachama wengi zaidi iliyofanyika katika Soko la 
Kilombero jijini Arusha.
Afisa wa 
NSSF Bi. Irene Mshanga akimwandikisha mwanachama Mpya wakati wa Kampeni 
maalumu ya kuwafikia wanachama wengi zaidi inayoendelea katika soko la 
Kilombero jijini Arusha.
Afisa Mwandamizi wa Masoko na Uhusiano wa NSSF, Amina
Mbaga Akitoa ufafanuzi kwa Mwanchama mpya wakati wa Kampeni maalumu ya kuwafikia wanachama wengi zaidi inayoendelea katika Soko la Kilombero Jijini Arusha leo. Afisa Masoko na Uhusiano wa NSSF, Anna Nguzo Akitoa ufafanuzi kwa Mwanchama mpya wakati wa Kampeni maalumu ya kuwafikia wanachama
wengi zaidi inayoendelea katika Soko la Kilombero Jijini Arusha leo.
Mbaga Akitoa ufafanuzi kwa Mwanchama mpya wakati wa Kampeni maalumu ya kuwafikia wanachama wengi zaidi inayoendelea katika Soko la Kilombero Jijini Arusha leo. Afisa Masoko na Uhusiano wa NSSF, Anna Nguzo Akitoa ufafanuzi kwa Mwanchama mpya wakati wa Kampeni maalumu ya kuwafikia wanachama
wengi zaidi inayoendelea katika Soko la Kilombero Jijini Arusha leo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni