NSSF YADHAMINI NANI ZAIDI KATI YA MSONDO NA SIKINDE

Ofisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Salim Kimaro, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mpambano wa nani zaidi kati ya Msondo na Sikinde uliofanyika kwenye viwanja vya TCC Chang'ombe jijini Dar esSalaam, mwishoni mwa wiki na kudhaminiwa na NSSF. (Na Mpiga Picha Wetu)
Ofisa Mwandamizi Masokona Uhusiano NSSF, Amina Mbaga, (kushoto) akimkabidhi fulana, Jumanne Mnola alipotembelea banda la NSSF wakati wa mpambano wa nani zaidi kati ya Msondo na Sikinde kudhaminiwa na NSSF.
Ofisa Mwandamizi Masoko na Uhusiano NSSF, Amina Mbaga, (kushoto), akimkabidhi fulana mmoja wa wateja wao, Said Ally, alipotembelea banda lao.
Ofisa Mwandamizi Masokona Uhusiano (Nssf), Amina Mbaga akigawa vipeperushi kwa baadhi yawananchi waliotembelea banda lao.
Ofisa Uhusiano wa NSSF, Faides Mdee, akigawa vipeperushikwa baadhi ya wananchi waliotembelea banda lao katika tamasha la muziki ambapo bendi za Msondo na Sikinde zilichuana.

Wafanyakazi wa NSSF wakimkabidhi fulana mteja wao, Antela Salumu (katikati).
Ofisa waNSSF, Innocent Shao, (kulia) akiwaandikisha baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na NSSF.
Ofisa uandikishaji NSSF, Amina Kisawaga (kulia) akitoa maelezo kwa mteja alietembeleabanda lao Fumbwe Juma.
Picha ya pamoja.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni