Meneja
 wa Kanda Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Nchini  (TIRA) Kanda ya Nyanda za
 Juu Kusini Ndugu Hiraly Maskini akifungua Mkutano wa  wadau wa soko la 
Bima kutoka Mikoani ya Nyanda za Juu Kusini  (hawapo pichani) katika 
ukumbi wa Mikutano Mkapa jijini Mbeya Mei 3 -2016 mkutano ambao unalengo
 la kujadili na kutambua changamoto mbalimbali wanazo kutana nazo wadau 
hao katika kutekeleza majukumu yao.(Picha Emanuel 
Madafa,Jamiimojablogu-Mbeya) 
Wadau wa soko la Bima Mikoa ya Kanda ya Nyanda za Juuu Kusini,Mbeya,Iringa,Njombe ,Rukwa ,Songwe na Katavi wakiwa katika umakini kufuatilia agenda mbalimbali katika mkutano huo ulioandaliwa na Mamlaka ya usimamizi wa Bima Nchini Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (TIRA)
Wadau wa soko la Bima Mikoa ya Kanda ya Nyanda za Juuu Kusini,Mbeya,Iringa,Njombe ,Rukwa ,Songwe na Katavi wakiwa katika umakini kufuatilia agenda mbalimbali katika mkutano huo ulioandaliwa na Mamlaka ya usimamizi wa Bima Nchini Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (TIRA)
Mhasibu
 wa Kanda Mamlaka ya Usimamizi wa Bima  (TIRA)Kanda ya Nyanda za Juu 
Kusini Ndugu Kurenje Mbura akiwasilisha moja ya maada katika mkutano wa 
wadau wa Soko la Bima ulioitishwa na Mamlaka hiyo ya (TIRA ) Mei 3 Mwaka
 huu katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mkapa jijini Mbeya.  
 | 
Mmoja
 wa wadau wa soko la Bima Mkoani Mbeya  Ndugu Masterdy Luvanda 
akichangia maada katika mkutano wa wadau wa Soko la Bima  ulioitishwa na
 Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA)  katika Ukumbi wa Mkapa jinini 
Mbeya Mei 3 mwaka huu, ukiwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali 
wanazo kutanana nazo wadau hao sanjali na kupeana uzoefu katika sekta 
hiyo. 
 | 
Picha ya Pamoja Meza kuu na washiriki wa semina hiyo. 
 | 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni