Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na
 wakandarasi  nchini wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa 
mashauriano wa Bodi ya Usajili ya Makandarasi (CRB) ambapo aliwataka 
makandarasi wazawa kuwa wazalendo na nchi yao ikiwemo kuepuka vitendo 
vya rushwa katika maeneo ya Kazi.
Baadhi
 ya Makandarasi nchini wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa 
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wakandarasi  nchini wakati
 wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa mashauriano wa Bodi ya Usajili ya 
Makandarasi (CRB).
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akisalimiana na baadhi ya wageni na watendaji wa serikali wakati 
akiwasili katika hafla ya uzinduzi wa mkutano wa mwaka wa mashauriano wa
 Bodi ya Usajili ya Makandarasi (CRB).
Kaimu
 Msajili kutoka Bodi ya Usajili ya Makandarasi (CRB) Rhoben Nkori 
akiongea wakati wa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa mashauriano 
wa Bodi ya Usajili ya Makandarasi (CRB)na kuahidi kuendelea kuwapa 
kipaumbele makandarasi wazawa na kukabiliana na changamoto 
zinazowakabil.
 
Mwenyekiti
 wa Bodi ya Usajili ya Makandarasi (CRB) Mhandisi Consolata Ngimbwa 
akiongea na wakandarasi(hawapo pichani) ambapo aliwataka makandarasi 
wazawa kufanya kazi kwa weledi na kusisitiza kuwachukulia hatua kali za 
kisheria kwa makandarasi wenye nia ya kuwakwamisha.
Waziri
 wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa 
akiongea na wakandarasi  nchini wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka 
wa mashauriano wa Bodi ya Usajili ya Makandarasi (CRB) ambapo aliwaahidi
 makandarasi nchini kuwasimamia kikamilifu na kuwapa fursa na kazi 
mbalimbali za ujenzi nchini.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembelea
 baadhi ya mabanda wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa mashauriano
 wa Bodi ya Usajili ya Makandarasi (CRB).
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembelea
 baadhi ya mabanda wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa mashauriano
 wa Bodi ya Usajili ya Makandarasi (CRB).
Rais
 Dk John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Bodi
 ya Wakandarasi na viongozi wa mkoa wa Wizara ya Ujenzi wa mkoa wa Dar 
es salaam.
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa tuzo
 kwa wawakilishi wa makampuni mbalimbali waliowezesha kufanyika kwa 
mkutano wa mwaka wa mashauriano wa Bodi ya Usajili ya Makandarasi (CRB).
Picha na ikulu 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni