Mbunge
 wa jimbo la Nkasi Kaskazini (CCM) Mhe. Allya Kessy akizungumza jambo na
 Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA) Mhe. Halima Mdee nje ya ukumbi wa 
Bunge mjini Dodoma leo.
 Mwekekezaji
 na Msambazaji wa nguzo za umeme nchini kutoka Kampuni ya New Forest 
iliyoko mkoani Iringa akiwaonesha jambo Mbunge wa Nkasi Kaskazini Mhe. 
Ally Kessy (kushoto) na Mbunge wa jimbo laKilolo Mhe. Venance Mwamoto 
kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
 Waziri
 wa Maliasili na Utalii Mhe. Prof. Jummanne Maghembe (kushoto) na Naibu 
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mhandisi Ramo Makani waifuatilia hoja
 mbalimbali za wabunge wakati wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato 
na Matumizi ya Wizara hiyo Bungeni Dodoma.
  Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Prof. Jummanne Maghembe (kushoto) na
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mhandisi Ramo Makani
waifuatilia michango mbalimbali ya wabunge wakati wakichangia Hotuba ya
Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo Bungeni Dodoma.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mhandisi Ramo Makani
waifuatilia michango mbalimbali ya wabunge wakati wakichangia Hotuba ya
Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo Bungeni Dodoma.
 Waziri
 wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Hussein Mwinyi akifuatilia kwa
 makini mjadala wa Waheshimiwa Wabunge wakati wa kipindi cha maswali na 
Majibu.
 Mbunge
 wa Bunda Mjini Mhe. Esther Bulaya akichangia Hotuba ya Makadirio ya 
Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii ndani ya Ukumbi wa 
Bunge mjini Dodoma leo
 Mwenyekiti wa Bunge ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Magharibi Mhe. Andrew Chenge akiongoza kikao cha Bunge leo mjini Dodoma. 
Baadhi
 ya Wananchi kutoka jamii ya Wafugaji waliohudhuria kikao cha Bunge leo 
mjini Dodoma kushuhudia Michango ya Wabunge wakati wa Makadirio ya 
Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii mjini Dodoma leo.
Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Hamis Kigwangala akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Bunge Bw. Owen Mwandumbya (kulia) na Mwandishi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Elisha Eliya leo mjini Dodoma.
Picha/Aron Msigwa – MAELEZO










Hakuna maoni:
Chapisha Maoni