Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini TanzaniaBalozi  Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za Kipindupindu Zanzibar.
Balozi Jasem Al-Najem, akiwasili katika viwanja vya Wizara ya Afya Zanzibar kwa ajili ya kukabidhi Msaada wa Madawa na Maji.
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem
 Al-Najem, akisalimiana na Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil 
Mohammed wakati wa hafla ya kukabidhi Madawa na Maji kwa ajili ya Kambi 
za Kipindupindu Zanzibar.
Balozi Jasem
 Al-Najem, akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar kabla ya 
kuaza kwa hafla ya kukabidhi Madawa na Maji kwa Ajili ya Kambi za 
Kipindupindu Zanzibar. 
Balozi Jasem
 Al-Najem, akisoma bango lilliloandikwa ujumbe wa hafla hiyo kwa 
viongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar kabla ya kuaza hafla hiyo ya 
kukabidhi madawa na maji. kushoto Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe 
Harusi Said na Naibu Katibu Mkuu Halima Maulid. 
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Jasem
 Al-Najem, akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Wizara ya Afya 
Zanzibar, kulia Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Harusi Said, Naibu 
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi Halima Maulid na kushoto kwa Balozi 
Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed na Mkurugenzi 
Kinga Wizara ya Afya Zanzibar. Dk Mohammed Dahoma.   
Balozi
 wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akikabidhi msaada wa 
Dawa kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Zanzibar Mhe. Harusi Said, 
wakishuhudia kulia Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Bi Halima Maulid na 
kushoto Daktari Dhamana Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed.
Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Jasem
 Al-Najem, akimkabidhi dawa Naibu Waziri Wizara ya Afya Zanzibar, Mhe. 
Harusi Said, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi Halima Maulid na 
kushoto kwa Balozi Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed
 na Mkurugenzi Kinga Wizara ya Afya Zanzibar. Dk Mohammed Dahoma. 
Naibu
 Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi Halima Maulid akimkabidhi Madawa
 Daktari Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed, baada ya 
kukabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania.
Balozi
 wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akizungumza baada ya 
kukabidhi msaada huo wa dawa kwa Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe 
Harusi Said.   
Balozi
 wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akizungumza baada ya 
kukabidhi msaada huo wa dawa kwa Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe 
Harusi Said.   
Daktari
 Dhamana wa Kanda ya Unguja Dk Fadhil Mohammed akitowa shukrani kwa 
Balozi wa Kuwait kwa msaada wao kwa Kambi ya Kipundupindu Zanzibar 
wakati wa hafla ya kukabidhi Madawa na Katuni za Majili kwa matumizi ya 
Kambi hizo.
Balozi
 wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, akiwa katika picha ya 
pamoja na Viongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar nje ya Jengo la Wizara 
Mnani Mmmoja.
Imetayarishwa na Othman Mapara.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni