NSSF ILIVYOSHIRIKI MEI MOSI KITAIFA MKOANI DODOMA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF), Prof. Godius Kahyarara (katikati waliokaa), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori (kulia) na Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa NSSF nje ya Ofisi ya Mkoa wa Dodoma wakati wa shereheza Sikukuu za Mei Mosi zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF), Prof. Godius Kahyarara (kulia), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF,
Crescentius Magori na Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume na Meneja wa NSSF Mkoa wa Dodoma, Rehema Chuma wakati wa sherehe za Sikukuu za Mei Mosi zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoaniDodoma.
Rais John Magufuli (wa pili kushoto) akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kulia), Rais wa Shirikisho la vyama vya WafanyakaziTanzania (TUCTA), Gratian Mukoba (wa pili kulia) na Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu Jenista Mhagama wakati wa kilele cha sherehe za Sikukuu za MeiMosi zilizofanyika kitaifa mkoani Dodoma
Wafanyazi wa NSSF wakiwa na bango lao.
Wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakipita kwa maandamano mbele ya mgeni rasmi Rais John Magufuli (hayupo pichani), katika kilele cha Sherehe za Mei Mosi zilizofanyika kitaifa mkoaniDodoma.

Wafanyakazi wa NSSF wakiwa katika Mei Mosi.
Maandamano ya wafanyakazi wa NSSF yakipita mbele ya mgeni rasmi Rais John Magufuli (hayupo pichani) katika sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi.
Wafanyakazi wakiwa katika maandamano.
Wafanyakazi wa NSSF wakiingia kwa maandamano.
wafanyakazi wakiwa katika sherehe za sikukuu ya Mei Mosi.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya
Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara (kulia), Meneja wa NSSF Mkoa wa Dodoma, Rehema Chuma, Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa NSSF,Eunice Chiume na Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori wakitoka baada ya kumalizika kwa shereheza Sikukuu ya Mei Mosi iliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni