Mwenyekiti
 wa Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF) Bw. Erick Chrispin 
akizungumza wakati wa mkutano wa Jukwaa hilo unaofanyika kila mwisho wa 
mwezi jana jijini Dar es Salaam. Mada kuu katika mjadala huo ilikuwa ni 
“Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua 
na kuhakikisha inafikia malengo yake”
Afisa
 Mtendaji Mkuu wa Asasi ya Open Mind Tanzania (OMT) ambaye pia ni 
Mratibu wa Programu ya Kukuza Ajira zenye staha jijini Dar es 
Salaam(YEID) Bw. Dominic Ndunguru akiwasilisha maada kuhusu misingi ya 
ujasiriamali wakati wa mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia 
Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo 
yake” jana jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la 
Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF).
Meneja
 Matukio na Ushirikiano wa Asasi ya Buni Innovation Hub Bi. Maryam 
Mgonja akielezea kuhusu namna asasi yao inavyofanya kazi wakati wa 
mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali wa Kijamii
 katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo yake” jana jijini Dar es 
Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania
 (TASEF).
Afisa
 Mtendaji Mkuu wa Sema Tanzania Bw. Kiiya Joel Kiiya akifafanua jambo 
wakati wa mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali 
wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo yake” jana 
jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali 
Jamii Tanzania (TASEF).
Mmoja
 wa washiriki wa Mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia 
Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo 
yake” ambayepia ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Bi.
 Liliani Kimaro akiwasilisha hoja walizozipata wakati wa majadiliana 
kwenye kundi lao jana jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na 
Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF).
Mmoja
 wa washiriki wa Mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia 
Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo 
yake akichangia mada wakati wa majadiliano jana jijini Dar es Salaam. 
Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania 
(TASEF).
Baadhi
 ya washiriki wa Mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia 
Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo 
yake” wakifuatilia mada wakati wa majadiliano jana jijini Dar es Salaam.
 Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania 
(TASEF).
Mmoja
 wa washiriki wa Mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia 
Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo 
yake”. Akifafanua namna ujasiriamali unavyo tegemea zaidi kuanza na wazo
 badala ya mtaji jana jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na 
Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF). Picha na: Frank Shija, 
WHUSM.








Hakuna maoni:
Chapisha Maoni