Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akipokea maandamano ya Wafanyakazi mbali mbali wa Taasisi za Serikali na
 Binafsi, wakipita mbele yake wakati wa sherehe za siku ya Wafanyakazi 
Duniani katika viwanja vya Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo. 
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akipokea maandamano ya Wafanyakazi mbali mbali wa Taasisi za Serikali na
 Binafsi,(pichani) Vijana waliobeba bango kutoka Ofisi ya Makamo wa Pili
 ya Rais akipita mbele yake wakati wa sherehe za sikuya Wafanyakazi 
Duniani katika viwanja vya Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo. 
Wafanyakazi
 wakipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
 Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani) na bango lao linalotoa 
ujumbe"IDARA YA FIDIA NI UTI WA MGONGO WA MAISHA YA WAFANYAKAZI NI 
MUHIMU KUANZISHWA" wakati alipokuwa akipokea maandamano ya Wafanyakazi 
wa Taasisi mballi mbali za Serikali na Binafsi katika sherehe za siku ya
 Wafanyakazi Duniani zilizofanyika leo viwanja vya Ukumbi wa Salama 
Bwawani Mjini Unguja 
Wafanyakazi
 wakimpungia mkono Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
 Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani) wakati alipokuwa akipokea 
maandamano ya Wafanyakazi wa Taasisi mballi mbali za Serikali na Binafsi
 katika sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika leo viwanja
 vya Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja.
Baadhi
 ya Viongozi na Wafanyakazi wa Taasisi za Serikali na Binafsi wakiwa 
katika sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika leo katika 
Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo mgeni rasmin akiwa Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein. 
Baadhi
 ya Vingozi na Wafanyakazi wa Taasisi mbali mbali za Serikali na Binafsi
 wakiwa katika sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika leo 
katika Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja, mgeni rasmin akiwa Rais wa
 Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein. 
Baadhi
 ya Vingozi na Wafanyakazi wa Taasisi mbali mbali za Serikali na Binafsi
 wakiwa katika sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika leo 
katika Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja,mgeni rasmin akiwa Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein. 
Baadhi
 ya Vingozi na Wafanyakazi wa Taasisi za Serikali na Binafsi wakiwa 
katika sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika leo katika 
Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo mgeni rasmin akiwa Rais wa 
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein. 
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(katikati) pamoja na Viongozi mbali mbali wakinyanyua mikono juu 
kuashiria Mshikamano wakati wa sherehe za kilele cha siku ya Wafanyakazi
 Duniani,ambazo sherehe zimewajumuisha mbali mbali wa Taasisi za 
Serikali na Binafsi katika Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo. 
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akimakabidhi zawadi Musssa Yussuf wa ZSSF Laki Sitafedha taslim akiwa 
mfanyakazi Bora Chama cha ZAFICOWV katika sherehe za Siku ya wafanyakazi
 Duniani Zilizofanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja.
 
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akimakabidhi zawadi Bi.Asya Rajab Said fedha taslim laki tano,kutoka 
Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akiwa mfanyakazi Bora
 Chama cha ZUPHE katika sherehe za Siku ya wafanyakazi Duniani 
Zilizofanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja. 
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akimakabidhi zawadi Nd,Yunus Sose Hassan fedha taslim laki tano kutoka 
Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akiwa mfanyakazi Bora
 Chama cha ZUPHE katika sherehe za Siku ya wafanyakazi Duniani 
Zilizofanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja. 
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akitoa hutuba yake kwa Wafanyakazi mbali mbali wa Taasisi za Serikali na
 Binafsi pamoja na Wananchi wakati wa Kilele cha siku ya Wafayakazi 
Duniani sherehe zilizofanyika Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo.
 
Rais
 wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akitoa hutuba yake kwa Wafanyakazi mbali mbali wa Taasisi za Serikali na
 Binafsi pamoja na Wananchi wakati wa Kilele cha siku ya Wafayakazi 
Duniani sherehe zilizofanyika Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja 
leo.Picha na Ikulu. 














Hakuna maoni:
Chapisha Maoni