BENKI
 ya CRDB tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam wamewapa semina 
wateja wajasiliamali wa benki hiyo kuhusu huduma za kibenki kwa njia ya 
Mtandao yaani Internet Banking. 
Huduma ya Internet
 Banking itawajengea uwezo wajasiliamali hao katika nyanja mbalimbali 
kama vile kuwalipa mshahara wafanyakazi wake, kuangalia jumala ya mapata
 waliyanayo kwenye akaunti yake pamoja na kuangali jinsi pesa 
ilivyowekwa na kutolewa katika akaunti yako kwa njia ya mtandao wa 
Interneti.
Mkurugenzi
 wa benki ya CRDB tawi la Mlimani City, Allen Killango akizungumza 
katika semina ya wajasiliamali wenye akaunti za benki ya CRDB jijini Dar
 es Salaam.
Mkurugenzi
 wa huduma mbadala za benki ya CRDB jijini Dar es Salaam, Dr. Joseph 
Witts akizungumza na wajasiliamali wenye akaunti kwenye benki ya CRDB 
katika mkutano ulioandaliwa na benki hiyo tawi la Mlimani City jijini 
Dar es Salaam.
Meneja
 huduma za kibenki kwa njia ya mtandao ya kieletroniki, Mangire Kibanda 
akifafanua juu ya huduma ya Interneti banking kwa wajasiliamali wenye 
akaunti za benki ya CRDB jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa mikutano 
wa Ubungo plaza.
Baadhi
 ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City jijini Dar es 
Salaam wakiwa katika semina ya wajasiliamali wenye akaunti za Benki za 
CRDB.
Baadhi
 wajasiliamali wakimsikiliza Meneja huduma za kibenki kwa njia ya 
mtandao ya kieletroniki, Mangire Kibanda katika semina iliyoandaliwa na 
wafanyakazi wa CRDB tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam.








Hakuna maoni:
Chapisha Maoni