Katibu
 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Thomas Kashilila
 akiongea na Viongozi wa Jeshi la Magereza pamoja na SUMA – JKT kwenye 
Ofisi za Bunge, Jijini Dar es Salaam kuhusiana na namna walivyojipanga 
katika kutekeleza jukumu la utengenezaji wa Madawati ya shule hapa 
nchini. 
Katibu
 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Thomas Kashilila
 akiongoza mazungumzo na Viongozi wa Jeshi la Magereza pamoja na SUMA – 
JKT(hawapo pichani).
Kamishna
 Jenerali wa Jeshi la Magereza, CGP John Casmir Minja(wa kwanza kushoto)
 akiwa pamoja na Maafisa Waandamizi wa Jeshi hilo wakifuatilia kwa 
makini mazungumzo na Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
 Mhe. Dkt. Thomas Kashilila(hayupo pichani).
Mtendaji
 Mkuu wa SUMA – JKT, Bregedia Jenerali C. Yateri akifuatilia mazungumzo 
hayo na Maofisa Watendaji wa Shirika hilo la SUMA – JKT.
Kamishna
 Jenerali wa Jeshi la Magereza, CGP John Casmir Minja akiteta jambo na 
Mtendaji Mkuu wa SUMA – JKT, Bregedia Jenerali C. Yateri walipokutana 
leo Mei 3, 2016 katika Ofisi za Bunge, Jijini Dar es Salaam(Picha zote 
na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni