Meneja Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni LAPF Bw. James Mlowe amekabidhi Jumla ya madawati 124 kwa
ajili ya shule za Manispaa ya Kinondoni, msaada huo umetolewa na
taasisi hiyo unagharimu kiasi cha shilingi milioni 10,000,000/=
yamekabidhiwa kwa Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Salum Ali
Hapi.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Salum Ally Hapi (wa pili kushoto) akimshukuru Meneja Masoko na Mawasiliano wa
Mfuko wa Pensheni wa LAPF James Mlowe mara baada ya kupokea msaada wa
madawati 124 kwa ajili ya Shule ya Msingi Nakasangwe iliyopo Kata ya
Wazo. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Ofisa
Elimu Msingi Wilaya ya Kinondoni, Kiduma Mageni.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni