| Baadhi ya wafanyakazi wapya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) wakiwa na furaha katika hafla ya kuwakaribisha iliofanyika makao makuu jijini Arusha. |
![]() |
| Wafanyakazi wapya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) wakijitambulisha katika hafla ya kuwakaribisha iliofanyika makao makuu jijini Arusha. |
![]() |
| Mmoja wa wafanyakazi wa EAC,Beata Mukabaranga(kushoto) |
![]() |
| Mkurugenzi mpya wa Miundombinu wa EAC,Kamugisha Kazaura akitoa neno la shukrani |
![]() |
| Wadau wa EAC wakipata mapochopocho |






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni