POLISI YASEMA MIILI YA WALIYOKUFA KWENYE GHOROFA LILILOUNGUA MOTO LONDON KUTOTAMBULIKA


Polisi nchini Ungereza wameonya kuwa kunauwezekano wa kutotambulika kwa watu waliokufa kwenye moto uliounguza ghorofa magharibi mwa Jiji la London.

Vikosi vya huduma za dharura vimeendelea kwa siku tatu, vikiendelea kutafuta miili ya watu iliyoungua katika ghorofa hilo la makazi ya watu la Grenfell Tower.

Watu 17 wamethibitishwa kufa hadi sasa, ila idadi yao waloikufa moto inatarajiwa kuongezeka na kunahofu huenda ikazidi watu 60.
   Waombolezaji wakiomboleza kwa kuweka mashada ya maua na kuandika ukutani ujumbe wa maombolezo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni