Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua gwaride katika hafla fupi ya kuwavalisha
Vyeo Maafisa Magereza kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya
Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa
mahaliwa alimwakisha Rais John Pombe Mgufuli katika hafla hiyo.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimvalisha Jeremiah Nkondo kuwa Naibu Kamishina
wa Magereza katika hafla fupi iliyofanyika kwenye uwanja wa Chuo cha
Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017.
Mheshimiwa majaliwa alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika hafla
hiyo.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimvalisha cheo Tusekile Mwaisabila kuwa Naibu
Kamishina wa Magereza katika hafla fupi iliyofanyika kwenye uwanja wa
Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12,
2017. Mheshimiwa majaliwa alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika
hafla hiyo . (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimvalisha cheo, Afwililwe Mwakijungu kuwa
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Magereza katika hafla fupi iliyofanyika
kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es
salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa majaliwa alimwakilisha Rais John Pombe
Magufuli katika hafla hiyo . (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Manaibu
Kamishina wa Magereza wakisoma Tamko la Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi
wa Umma baada ya kuvalishwa vyeo na Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa aktika
hafla fupi iliyofanyika kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya
Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa
majaliwa alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika hafla hiyo.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika hafla fupi ya kuvalisha vyeo
Maafisa magereza iliyofanyika kwenye uwanja wa Chuo cha Taaluma ya
Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni 12, 2017. Mheshimiwa
majaliwa alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika hafla hiyo.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa magereza
aliowavalisha Vyeo kwa Niaba ya Rais John Pombe Magufuli kwenye uwanja
wa Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga jijini Dar es salaam Juni,
12, 2017. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni