AFRIKA IANDAE RASILIMALI WATU KUSIMAMIA SEKTA YA MADINI-MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia Vitu vilivyo tengenezwa na kituo cha Madini.Wakati alipo fika kwa ajili ya Ufunguzi wa Mkutano wa 37 wa Baraza la Uongozi wa Kituo cha Madini na Jiosayansi cha Afrika(AMGC) uliofanyika leo Septemba 14/2017 Mkoani Dar es salaam kulia kwake ni Naibu wa Nishati na Madini DR Kaliman . Picha na Ofisi y Waziri Mkuu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni