Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Ireland Nchini, Mhe. 
Paul Sherlock  (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa UNDP nchini, Bw. 
David Omozuafoh (kulia) baada ya kuzindua  Awamu ya Pili  ya Mradi wa 
Kuujengea Uwezo Mhimili wa Bunge (LSP- 11) kwenye ukumbi wa Bunge mjini 
Dodoma Septemba 14, 2017
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na  Spika wa Bunge, Job Ndugai  
(kulia)     baada ya kuzindua  Awamu ya Pili  ya Mradi wa Kuujengea 
Uwezo Mhimili wa Bunge (LSP- 11) kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma 
Septemba 14, 2017. Kushoto ni Balozi wa Ireland Nchini, Mhe. Paul 
Sherlock
Waziri
 Mkuu, Kasim Majaliwa akizindua Awamu ya Pili  ya Mradi wa Kuujengea 
Uwezo Mhimili wa Bunge (LSP- 11) kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma 
Septemba 14, 2017. Kulia ni Spika wa Bunge, Job Ndugai.
Waziri
 Mkuu, Kasim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Awamu ya Pili  ya 
Mradi wa Kuujengea Uwezo Mhimili wa Bunge (LSP- 11) kwenye ukumbi wa 
Bunge mjini Dodoma Septemba 14, 2017.Kushoto ni Spika wa Bunge, Job 
Ndugai.
Naibu
 Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akitoa maelezo kabla ya Waziri Mkuu, 
Kassim Majaliwa Kuzindua Awamu ya Pili  ya Mradi wa Kuujengea Uwezo 
Mhimili wa Bunge (LSP- 11) kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Septemba 
14, 2017.
Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia kwake ) 
wakiwa katika picha ya pamoja na  viongozi walioshiriki katika Awamu ya 
Pili  ya Mradi wa Kuujengea Uwezo Mhimili wa Bunge (LSP- 11) kwenye 
ukumbi wa Bunge mjini Dodoma Septemba 14, 2017. Picha na Ofisi ya Waziri
 Mkuu
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni